Anfibix
Senior Member
- Dec 1, 2018
- 190
- 308
Habari wakuu. Kuna mdogo wangu kamaliza chuo mwaka huu, ananiomba ushauri mimi dada yake kuhusu mambo ya quantity surveying, alisoma building economics ardhi. Sasa mimi hata sielewi cha kumshauri, aanzie wapi na aishie wapi aweze kujiendeleza career wise. Kwa wale waliosoma hii course au wanaoijua please naombeni ushauri wenu ili ajue wapi pa kuanzia maana kama ni connection hana, mimi mwenyewe nilisoma finance hayo mambo ya ujenzi sielewii. Asanteni