Kujichua Vs Uzinifu 🤔

Kujichua Vs Uzinifu 🤔

Attachments

  • 20260628_051056.jpg
    20260628_051056.jpg
    816 KB · Views: 7
Nadhani hii dunia tunaishinmuda mchache Sana hauhitaji kucomplicate Sana maisha. Suala la dhambi ni mtazamo tu na ni Sheria ambazo tumejuwekea au uoga tuliojiwekea ili kupunguza maovu.

Jaribu kuangalia anga lote nyakati za usiku hizo nyota na makorokoro yote ni baadhi tu ya Mambo yaliyoumbwa na Mungu na yote hayo pamoja na kuwa tunayaona kwa uchache tu lakini yako kwenye galaxy moja ya milk way na unaambiwa kuwa Kuna zaidi ya galaxy bilioni moja. Kwahiyo Mungu hawezi kuumba vitu vyote hivyo afu aje akuue kwa moto kisa tu umezini au umejichua.

Ni wewe tu kuamua ujichue au utafute mtu mzagamuane japo hayo yanategemea gharama pia, kumla mtu ni Bora zaidi maana mnapata na muda wa kubadilishiana mawazo japo ni gharama ila kujichua ni one man show Haina gharama lakini pia hainogi Sana.
Nimeifurahia sana comment yako, yaani ulimwengu ulivyo mkubwa namna hii Mungu aje adili na mmatumbi mmoja nae piga nyeto huko vijijini ndani ndani huko.

Tunaambiwa dunia na ukubwa wote huu inaingia kwenye jua mara milioni kadhaa, kwa hio jua ni kubwa sana .
Wakati huo huo jua ni kanyota kadogo dogo tena kachanga kwenye ukoo wao.

Huo ukoo wa nyota ya jua na wenyewe ni ukoo mdogo mno kwenye jamii yao.

Na hio jamii zipo mamilioni nyingine ni kubwa zisizo elezeka.

Kwa hio ukianzia huko mpaka uje umkute tena yule mmatumbi kule tanzania ndipo unapoona binadamu katika ulimwengu si chochote si lolote, ni vile tu amejipa umuhimu asio kuwa nao katika ulimwengu.
 
Nimeifurahia sana comment yako, yaani ulimwengu ulivyo mkubwa namna hii Mungu aje adili na mmatumbi mmoja nae piga nyeto huko vijijini ndani ndani huko.

Tunaambiwa dunia na ukubwa wote huu inaingia kwenye jua mara milioni kadhaa, kwa hio jua ni kubwa sana .
Wakati huo huo jua ni kanyota kadogo dogo tena kachanga kwenye ukoo wao.

Huo ukoo wa nyota ya jua na wenyewe ni ukoo mdogo mno kwenye jamii yao.

Na hio jamii zipo mamilioni nyingine ni kubwa zisizo elezeka.

Kwa hio ukianzia huko mpaka uje umkute tena yule mmatumbi kule tanzania ndipo unapoona binadamu katika ulimwengu si chochote si lolote, ni vile tu amejipa umuhimu asio kuwa nao katika ulimwengu.
Yaani hapa hata sielewe unaongelea nini hasa
 
Kwa wanaume, achana na masturbation, u are depriving your manhood and masculinity unecessarily!

Tafuta mtu wako 1 tulia naye, kama unaoa basi oa utulie kwenye mji wako.

Siku hizi dunia ina mambo mengi sana, ukirukaruka tunakuzika sasa hivii.
Best reply ever 📌🔥
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom