PakiJinja
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 7,768
- 16,021
Halafu huyo mwingine analialia tu eti ilishatokea hakuna cha kufanyaHuyo ndio Mwamba sasa
Halafu huyo mwingine analialia tu eti ilishatokea hakuna cha kufanyaHuyo ndio Mwamba sasa
Tattoo haifanyi mwanamke kuwa malaya ila umalaya unamfanya mwanamke kuwa na tattoo.N kuiga tu na kupenda kujichora ,ila c wanawake wt waliochora tattoo n malayaa
Tattoo aifanyi mwanamke kuwa malayaa .Bali umalaya n tabia ya mtu tu aliyonayo cku zote..
Ujanja mwingi mwisho hua ushambaDada zetu ni shida sana ujifanya wajanja sana kipindi cha ujana wanakula maisha, wao ndio wao ukiwaambia kitu kuwashauri wanakuona mshamba, basi wote wenye tattoo dada zangu pambaneni na hali zenu hakuna namna hapo.
Ni kawaida tu ,kwa wenzetu wazungu Kila tatoo hua na maana yke na inatumika Hadi kwenye mizimu Yao kuomba chochote na hufanikiwaWanaojichora wanaonekana kichekesho, kama majini vile!!
Hii ni chai ya moto sanaaa ,ngoja ipoeKuna jamaa aliiga ujinga akajichora tattoo begani.
Sku amepata nafasi ya kujiunga na Jeshi akatakiwa kwenda kufanyiwa ukaguzi, mwamba alichhofanya ilibidi ajibige pasi pale penye tattoo, akaenda na kukaguliwa akiwa na kidonda cha moto.
Mpaka sasa yupo Jeshini
Kwa hyo ushaidi wa wazi ni tattoo na sio hayo mapango mliyowakuta nayo wake zenu?
Ulie nae umemkuta bikraKashapigwa sana huko sasa anataka kukuuzia Makombo
Na bado akienda sokoni analiwa na muuza masaloActually uvaaji wa shanga kiuno I na matatuu na kutoboa masikio mara nyingi ni umalaya. Mke Hanaga mambo mengi kabisa yupo busy na issues zake za msingi tu. akichoka analala.
Huna pesaaje kwangu yupo wapi?
meli inapaki bila nanga. namtaka hyo nioe
We kula raha zako usichunguzeNa ndio ukute na tatoo yenyewe ni ya dushe juu ya tako. Nguvu hizo za kukuelewa nazitoa wapi sasa..Maana unaweza ukawa unatuzuga hapa
Ni kawaida tuUkimuona mwanamke ana tatoo hata kama amechora Biblia au Quran, kimbia speed Kubwa mno tena hakikisha miguu inagusa mgongo wakati wa kukimbia.
Kawaida sanaKinachowakimbiza sio tattoo, Bali wanawaza uliwezaje kujiachia Kwa mchoraji akuchore, tena wachora tattoo wengi ni wanaume....mwanaume mwenye akili timamu hawezi kuoa mwanamke anayeweza kumuachia mwanaume mwingine kiuno achore, huku katulia tuli, anaambiwa geuka anageuka, tulia anatulia....
Atafute mwanaume mwenye tattoo waoane.
Ulikimbia umandeStory ni ya mwanamke lakini nikiisoma ni kama ina tone ya kiume. Itakuwa labda ni mawenge yangu
Wanajifanya wamechoka maishaWatoto wa kiarusha wanapenda tattoo sana, unakuta kabiti ka secondary kana tattoo.
Kabisaampe hints sehemu na garama dada wawatu aelewe asiendelee kuwasumbua wakina mwamposa.
Kabisaa aiseeHalafu huyo mwingine analialia tu eti ilishatokea hakuna cha kufanya
Zikoje hizo gharama?INAFUTIKA japo gharama.
Ila INAFUTIKA.
Then, aifute
#YNWA
Mkuu hata ukiambiwa kuwa Nyerere ndiye aliyekua Waziri Mkuu wa kwanza nchini utabisha.Hii ni chai ya moto sanaaa ,ngoja ipoe