Fallback
JF-Expert Member
- Aug 12, 2023
- 3,477
- 6,486
Ndio tattoo sio umalaya maana kuna Malaya hatari na hawana hata tattoo moja mwilini kwa hio usipumbazwe kwamba kila mwenye tattoo ni Malaya kuna Malaya huwezi kuwakuta wamejichora tattoo Ila ni Malaya wa kutisha,Tattoo sio umalaya ila ni ishara ya tabia za kimalaya Malaya