Kujichanganya na jamii au marafiki wasiokuwa na msimamo.

Equation x

JF-Expert Member
Sep 3, 2017
29,453
40,436
Sisi tunaoishi maisha halisi huwa hatupendi kuwa karibu na jamii ya watu wanafiki, chawa, waongo waongo, wanao-'pretend', au wanao 'fake' maisha; kwa sababu tunajua hayo si maisha yao halisi na hatuwezi pia kuwavumilia.

Kwa hiyo mnavyotuona tuko mbali nao, sio kwamba hatupendi kujichanganya na jamii; bali sisi wengine tunaoishi maisha halisi, hatuwezi kuvumilia hizo tabia za namna hiyo.

Kwa hiyo ni bora mtuone tuko 'anti-social'; kuliko kujichanganya na jamii isiyokuwa na msimamo.​
 
Sisi tunaoishi maisha halisi huwa hatupendi kuwa karibu na jamii ya watu wanafiki, chawa, waongo waongo, wanao-'pretend', au wanao 'fake' maisha; kwa sababu tunajua hayo si maisha yao halisi na hatuwezi pia kuwavumilia.

Kwa hiyo mnavyotuona tuko mbali nao, sio kwamba hatupendi kujichanganya na jamii; bali sisi wengine tunaoishi maisha halisi, hatuwezi kuvumilia hizo tabia za namna hiyo.

Kwa hiyo ni bora mtuone tuko 'anti-social'; kuliko kujichanganya na jamii isiyokuwa na msimamo.​
jamii za kiswahili ni za kifoo sana,naunga mkono kwenye hili
 
Back
Top Bottom