halikwenda
Member
- Feb 3, 2013
- 9
- 0
jamani mi niko universty nasoma bba in accounting with education, kuajiriwa naona ni manyanyaso sana natamani kujiajiri na nimeplan kujikita kwenye kilimo na ufugaji, lakini naogopa risk. inanichanganya sana. na maliza chuo mwezi jully mwaka huu. naomba ushauri na faraja yenu.