Kujenga nyumba ni matumizi mabaya ya pesa

Braza Kede

JF-Expert Member
Nov 1, 2012
2,095
4,073
Huu ni ushamba mkubwa.

Kwanini usitumie hiyo pesa kupanga nyumba ya ndoto yako?

Kwanini usitumie hiyo pesa kukaa mtaa wa ndoto yako? ikiwezekana ukae town centa pale kila sehemu unatembea tu unaokoa pesa zaidi.

Ona sasa unaenda kukaa machokoroni huko kisa eti umejenga.

Najua kuna watakaosema wanawajengea watoto waje kuishi baadae wasihangaike.

Nani alikuambia watoto wanataka nyumba? kwanza wanasubiri wewe ukate moto waipige bei hiyo nyumba wagawane pesa.
 
Huu ni ushamba mkubwa.

Kwanini usitumie hiyo pesa kupanga nyumba ya ndoto yako?

Kwanini usitumie hiyo pesa kukaa mtaa wa ndoto yako? ikiwezekana ukae town centa pale kila sehemu unatembea tu unaokoa pesa zaidi.

Ona sasa unaenda kukaa machokoroni huko kisa eti umejenga.

Najua kuna watakaosema wanawajengea watoto waje kuishi bdae wasihangaike.

Nani alikuambia watoto wanataka nyumba? kwanza wanasubiri wewe ukate moto waipige bei hiyo nyumba wagawane pesa.
Sasa watu wasipojenga hio nyumba ya kupanga ya ndoto zako utaipata wapi? Au huo mtaa wa ndoto yako utaishi mtini?
Acha wengine wajenge wewe na wenzio wenye mawazo kama yako mtapanga.
 
Huu ni ushamba mkubwa.

Kwanini usitumie hiyo pesa kupanga nyumba ya ndoto yako?

Kwanini usitumie hiyo pesa kukaa mtaa wa ndoto yako? ikiwezekana ukae town centa pale kila sehemu unatembea tu unaokoa pesa zaidi.

Ona sasa unaenda kukaa machokoroni huko kisa eti umejenga.

Najua kuna watakaosema wanawajengea watoto waje kuishi bdae wasihangaike.

Nani alikuambia watoto wanataka nyumba? kwanza wanasubiri wewe ukate moto waipige bei hiyo nyumba wagawane pesa.
Kila mtu ashinde mechi zake Braza!
 
Huu ni ushamba mkubwa.

Kwanini usitumie hiyo pesa kupanga nyumba ya ndoto yako?

Kwanini usitumie hiyo pesa kukaa mtaa wa ndoto yako? ikiwezekana ukae town centa pale kila sehemu unatembea tu unaokoa pesa zaidi.

Ona sasa unaenda kukaa machokoroni huko kisa eti umejenga.

Najua kuna watakaosema wanawajengea watoto waje kuishi bdae wasihangaike.

Nani alikuambia watoto wanataka nyumba? kwanza wanasubiri wewe ukate moto waipige bei hiyo nyumba wagawane pesa.
Utaendelea kupanga hadi ukistaafu? Likewise wengine huku machakani tunakojenga tunahitaji space hata ya kufuga kuku wa mboga. Maghorofani hapo kwako utafuga nini?
 
Huu ni ushamba mkubwa.

Kwanini usitumie hiyo pesa kupanga nyumba ya ndoto yako?

Kwanini usitumie hiyo pesa kukaa mtaa wa ndoto yako? ikiwezekana ukae town centa pale kila sehemu unatembea tu unaokoa pesa zaidi.

Ona sasa unaenda kukaa machokoroni huko kisa eti umejenga.

Najua kuna watakaosema wanawajengea watoto waje kuishi bdae wasihangaike.

Nani alikuambia watoto wanataka nyumba? kwanza wanasubiri wewe ukate moto waipige bei hiyo nyumba wagawane pesa.
Pesa watafute Watu wengine kwa jasho lao afu uwapangie wewe matumizi

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
 
Back
Top Bottom