Yaan hata uwe Brigedia sijui Jaji Mkuu wa dunia. Linapokuja suala la kujaamiiana Lazima uwe mpole na kufuata PROTOCOLS zote 7 sawa Bodaboda,masela jobless kijiweni au konda tu
NB: Siku ya UTELEZI duniani
NB: Siku ya UTELEZI duniani
Swali la Kisengelemaaaaa.1. Wakuu hivi hili Jambo la kujaamiiana mbona kama ndio linaendesha dunia nzima? Vita, mikutano, makongamano, biashara zote bila jamiiana ni bure.
2. Yaan hata uwe Brigedia sijui Jaji Mkuu wa dunia. Linapokuja suala la kujaamiiana Lazima uwe mpole na kufuata protocols zote kama Bodaboda tu
Hata Mimi namuona huyu Jamaa Ni mjinga Sana , binafsi Mimi kujamiana Hilo Jambo nalichukulia Kama Uchafu kwa imani yangu gheto langu haruhusiwi kuingia mgeni wa KikeSi wote
Hata Mimi namuona huyu Jamaa Ni mjinga Sana , binafsi Mimi kujamiana Hilo Jambo nalichukulia Kama Uchafu kwa imani yangu gheto langu haruhusiwi kuingia mgeni wa Kike
Kwani mgeni wa kike akiingia ndo lazima umnyandueHata Mimi namuona huyu Jamaa Ni mjinga Sana , binafsi Mimi kujamiana Hilo Jambo nalichukulia Kama Uchafu kwa imani yangu gheto langu haruhusiwi kuingia mgeni wa Kike
Napokaa Kuna sehemu ya kukaa wageni kwa nje Kuna viti so akifika anakarobishwa nje tu.Safi sana
Sasa ikitokea kaja gafla inakuwaje?
Nashangaa Mtu anaposema utamu ,wakati utamu Mtu anao mwenyewe nafikiri nchi zetu za Dunia ya tatu hazina watu wenye IQ kubwa Kama yako that way kwao ngono ni hitaji la muhimu.Utamu unao wewe mwenyewe.
Lile joto ni mavi tu.
Anayebisha amwambie mke/mpenzi wake akanye halafu wadanye jimai kama atasikia joto
U
Nashangaa Mtu anaposema utamu ,wakati utamu Mtu anao mwenyewe nafikiri nchi zetu za Dunia ya tatu hazina watu wenye IQ kubwa Kama yako that way kwao ngono ni hitaji la muhimu.
😂 hata jambazi sugu linapigaga salutiPale kati hata mabubu wanatoaga sauti.
Pale kati hata jambazi sugu linapigaga saluti.
Cc: konde boy mzee wa koh koh koh yaw yawa
Hiyo ndo imani yangu Tangu nikiwa Mdogo sipendi uchafu wowote hasa kutoka kwa wanawake.Kwani mgeni wa kike akiingia ndo lazima umnyandue
Siyo kila tendo la sex lazima mhusika likuchanganye bhana.1. Wakuu hivi hili Jambo la kujaamiiana mbona kama ndio linaendesha dunia nzima? Vita, mikutano, makongamano, biashara zote bila jamiiana ni bure.
2. Yaan hata uwe Brigedia sijui Jaji Mkuu wa dunia. Linapokuja suala la kujaamiiana Lazima uwe mpole na kufuata protocols zote kama Bodaboda tu
Una shida wewe.Hiyo ndo imani yangu Tangu nikiwa Mdogo sipendi uchafu wowote hasa kutoka kwa wanawake.
Mimi ni mtu special Mungu kaniumba hivyo na kanipa Imani thabiti kuwa nikae mbali na Uchafu wa Ngono Maisha yangu yote now napambana niache Legacy tu kama anavyonipa wito.Una shida wewe.
Bila uchafu ungezaliwa wewe.
Tena ukute umezaliwa kwa staili ya kifo cha mende.