Kujamba marufuku Malawi! - Sheria Kutungwa

Nyambala

JF-Expert Member
Oct 10, 2007
4,465
1,170
[FONT=Times New Roman, serif]Africa hatuishi vituko! Yaani badala ya kuwa bize na maendeleo angalia hawa jamaa!!!!!!!!

Malawi moves to ban farting
Posted 2 hours 47 minutes ago
Malawi's government has confirmed reports that it intends to outlaw breaking wind in public.
The African nation's justice ministry says the proposed legislation is part of a wider campaign to "mould responsible and disciplined citizens".
Local media is questioning how the proposed law will be enforced when it is so easy to blame the offence on others.
Source- BBC
[/FONT]
 
AAAAAHHH, hapo sasa maafisa wa polisi watapata kazi ya kukagua "silent killers" lol. Ila Rwanda ni marufuku kutema mata/makohozi chini in public areas.
 
AAAAAHHH, hapo sasa maafisa wa polisi watapata kazi ya kukagua "silent killers" lol. Ila Rwanda ni marufuku kutema mata/makohozi chini in public areas.[/QUOT
hapa itabid kuwe na vifaa vya hali ya juu vya kutambua silent killers-la sivyo hio sheria haitakuwa inafanya kaz kwa watu hawa
 
Bwahahahaaaa ikitungwa Tanzania wa kwanza kufungwa atakuwa Mkwere...hahahahaaaa

Si Mkwere pekee yake.
Rostam Aziz ni mjambaji mzuri hasa akila wali wa dengu.Yeye hujamba popote hata mbele za wakweze.
Lowassa naye ni mzuri wa kujamba kwa silencer, hata kama ni katikati ya ibada yeye haimpi shida
Mzee wa Vijisenti akipata nyama choma ya Kisukuma anajamba hadharani huku akicheka.
Ngeleja yeye haoni aibu kujamba mbele za mademu baa.Mashuzi yake mtu anazimia
Mama meghji anajiheshimu kidogo lakini akijamba ni wote kutawanyika harufu haivumiliki.
Mramba na Mkapa waliwahi kushindana kuzima moto kwa kujamba waamuzi wakasema wote wametoka draw.

Hii sheria ikija hapa kwetu itawapa shida sana hawa waheshimiwa.
 
Balaa itakuwa kipindi cha mahindi. maana kuna wengine wanakula mahindi ya kuchoma ambayo hayajaiva vizuri, inakuwa kasheshe wakiachia. mtafutano. bora wale mahindi ya kuchemsha au kande.
 
Si Mkwere pekee yake.
Rostam Aziz ni mjambaji mzuri hasa akila wali wa dengu.Yeye hujamba popote hata mbele za wakweze.
Lowassa naye ni mzuri wa kujamba kwa silencer, hata kama ni katikati ya ibada yeye haimpi shida
Mzee wa Vijisenti akipata nyama choma ya Kisukuma anajamba hadharani huku akicheka.
Ngeleja yeye haoni aibu kujamba mbele za mademu baa.Mashuzi yake mtu anazimia
Mama meghji anajiheshimu kidogo lakini akijamba ni wote kutawanyika harufu haivumiliki.
Mramba na Mkapa waliwahi kushindana kuzima moto kwa kujamba waamuzi wakasema wote wametoka draw.

Hii sheria ikija hapa kwetu itawapa shida sana hawa waheshimiwa.

Mkuu sina mbavu!!!.
 
Si Mkwere pekee yake.
Rostam Aziz ni mjambaji mzuri hasa akila wali wa dengu.Yeye hujamba popote hata mbele za wakweze.
Lowassa naye ni mzuri wa kujamba kwa silencer, hata kama ni katikati ya ibada yeye haimpi shida
Mzee wa Vijisenti akipata nyama choma ya Kisukuma anajamba hadharani huku akicheka.
Ngeleja yeye haoni aibu kujamba mbele za mademu baa.Mashuzi yake mtu anazimia
Mama meghji anajiheshimu kidogo lakini akijamba ni wote kutawanyika harufu haivumiliki.
Mramba na Mkapa waliwahi kushindana kuzima moto kwa kujamba waamuzi wakasema wote wametoka draw.

Hii sheria ikija hapa kwetu itawapa shida sana hawa waheshimiwa.

Teh, teh teh haha ha
Mkuu Saluti
 
Yaani wakati wenzetu wanafikiria maendeleo sisi tunafikiria kujamba.... very funny!!!
 
Malawi kupiga marufuku 'kupumua'?


110204064606_sp_fart_226i.jpg
Malawi kukataza watu kujamba?



Mzozo umezuka nchini Malawi kufuatia mapendekezo kutaka kufikishwa bingeni kuhusu kujamba, kuwa ni kosa.
Waziri wa sheria wa Malawi, George Chaponda amesema muswada huo utakaojadiliwa kuwa sheria ndani ya bunge wiki ijayo, utapiga marufuku kabisa kwa mtu kufanya haja hiyo hadharani. Waziri huyo amekiambia kituo kimoja cha radio nchini humo- kwa maneno yake - "nenda chooni kama unajisikia kujamba".
Hata hivyo mkuu wa wanasheria nchini Malawi Anthony Karanga amesema kufanya haja hiyo hakufikii kuharibu hali ya hewa kiasi cha kuwa kosa la jinai.
Mwandishi wa BBC nchini humo anasema wananchi wa Malawi wanajiuliza mapendekeo ya sheria hiyo, iwapo itapitishwa, itatekelezwaje.
Source:BBC
Swali:Hii sheria ikija Tanzania itakuwaje?
 
Sijawahi kuona ujinga kama huu?? Hivi viongozi wa afrika wakoje jamanI??? Kweli kabisa watu wenye akili zao wanatumia pesa za wananchi kujadili nonsense kama hii!!??? Wanatufanya afrika tuonekane wajingaaa....:A S thumbs_down:
 
Kweli nchi masikini zina matatizo hata sheria zao wanazotunga zinashughulikia vitu vidogo vidogo kama hivi. Yaani wataalam wakae na kudraft na halafu bunge la nchi likae na kujadili kitu simple namna hii.
 
Si Mkwere pekee yake.
Rostam Aziz ni mjambaji mzuri hasa akila wali wa dengu.Yeye hujamba popote hata mbele za wakweze.
Lowassa naye ni mzuri wa kujamba kwa silencer, hata kama ni katikati ya ibada yeye haimpi shida
Mzee wa Vijisenti akipata nyama choma ya Kisukuma anajamba hadharani huku akicheka.
Ngeleja yeye haoni aibu kujamba mbele za mademu baa.Mashuzi yake mtu anazimia
Mama meghji anajiheshimu kidogo lakini akijamba ni wote kutawanyika harufu haivumiliki.
Mramba na Mkapa waliwahi kushindana kuzima moto kwa kujamba waamuzi wakasema wote wametoka draw.

Hii sheria ikija hapa kwetu itawapa shida sana hawa waheshimiwa.

Duuu nyie jamaa ni balaa

Bwahahahaaaa ikitungwa Tanzania wa kwanza kufungwa atakuwa Mkwere...hahahahaaaa


Mbavu zangu lol!
 
Si Mkwere pekee yake.
Rostam Aziz ni mjambaji mzuri hasa akila wali wa dengu.Yeye hujamba popote hata mbele za wakweze.
Lowassa naye ni mzuri wa kujamba kwa silencer, hata kama ni katikati ya ibada yeye haimpi shida
Mzee wa Vijisenti akipata nyama choma ya Kisukuma anajamba hadharani huku akicheka.
Ngeleja yeye haoni aibu kujamba mbele za mademu baa.Mashuzi yake mtu anazimia
Mama meghji anajiheshimu kidogo lakini akijamba ni wote kutawanyika harufu haivumiliki.
Mramba na Mkapa waliwahi kushindana kuzima moto kwa kujamba waamuzi wakasema wote wametoka draw.

Hii sheria ikija hapa kwetu itawapa shida sana hawa waheshimiwa.

hahahahahah....wewe kiboko!! analysis yako kali....:clap2:
 
Sasa jamani... kwenye kundi kubwa utamjuaje mwenye kosa?????? huko ni kupoteza resources kwa kujadili vitu ambavyo ni vya kijinga, na utekelezaji wake mgumu....me :A S thumbs_down:
 
[FONT=Times New Roman, serif]Africa hatuishi vituko! Yaani badala ya kuwa bize na maendeleo angalia hawa jamaa!!!!!!!!

Malawi moves to ban farting
Posted 2 hours 47 minutes ago
Malawi's government has confirmed reports that it intends to outlaw breaking wind in public.
The African nation's justice ministry says the proposed legislation is part of a wider campaign to "mould responsible and disciplined citizens".
Local media is questioning how the proposed law will be enforced when it is so easy to blame the offence on others.
Source- BBC
[/FONT]

LOL - Hii imenichekesha sana. Sasa ikiwa mjambaji amejichanganyisha kwenye kundi itabakia kuonesha vidole tu. Itawabidi polisi wawanuse watu wote kubaini chanzo cha "Non Identified Bad Smell Object = NIBSO".
 
Watu wanene na wenye vitambi nawaonea huruma,maana nasikia wao wakikaa tu akitaka kunyanyuka huo!
 
Back
Top Bottom