Nanren
JF-Expert Member
- May 11, 2009
- 2,437
- 2,135
Sasa jamani... kwenye kundi kubwa utamjuaje mwenye kosa?????? huko ni kupoteza resources kwa kujadili vitu ambavyo ni vya kijinga, na utekelezaji wake mgumu....me :A S thumbs_down:
Sheria inakataza uchafuzi wa hewa kwa maana ya Air pollution. Wala haikuwa kwa ajili ya kuzuia kujamba. Ila kuna mwanasheria mmoja ambaye yeye ametafsiri kuwa air pollution ni pamoja na kujamba (tatizo la tafsiri) na story zimetoka kutokana na tafsiri yake huyo bwana.
Otherwise, such a law can not be enforced kutokana na ugumu wa kujua "source of pollution" kutakapokuwa na mtu zaidi ya mmoja, na jinsi ya kutunza ushahidi.