De Javu
JF-Expert Member
- May 5, 2010
- 264
- 33
Nasikia Polisi wa Malawai watakua wanatembea na vichupa, ukichafua hewa tu wanachukua sample moja kwa moja maabara kucheck DNA ya uchuzi wako na kulinganisha na finger print, Oh sorry tuseme ****** print yako kama ushuzi ulitokea huko....kaaaazi kweli kweli.