Nilio bahatika kufanya nao internship kupitia Taesa tulisaini miezi sita na muda ukaisha wakarudi mtaani wote ila nilijitahidi nimekaa mwezi mmoja tu nikasoma mchezo nika omba ajira sehemu mbali mbali nikaenda interview nikabahatika kupita, hata wewe ukienda usikae bure kama umefika omba sehemu mbali mbali ukiitwa nenda uache uoga wa kuomba ruhusa