Panda gari za kwenda Postal/kivukoni omba kushukia CBE (nimesahau kituo kinaiwaje). Ukishuka vuka upande wa pili kisha uliza TAESA au Labour court(mahakama ya kazi) basi TAESA na hiyo labour court zimefuatana. Japo kwa nje ofisi ya TAESA inatia huruma kidogo.
Unapoenda kujisajiri mara ya kwanza hakikisha unabeba vyeti vyako ORIGINAL vya kitaaluma.