Kuitwa Training TAESA

Sawa mkuu,tayari nimehudhuria Training then next week kutakua na interview.Hivi baada ya Interview inachukua muda gani kupelekwa internship?pia academic certificates zinazohitajika kwenye interview inahusisha Transcript ya chuo?
Hawatabiriki mimi nilifanyaga interview mwaka jana December mpaka leo sijawahigi kuitwa for intern so inategemea na bahati yako si unajua corona iliingilia kati hpo so vingi vilikwama si ajabu ndo mana wengne hatukuitwa and transcript pia ni muhimu nenda nayo
 
Maisha haya daah!
 
Anhaa kumbe
 
Kuna kaposho kokote wanatoa? Au mtu unaishia kuchoma mafuta tu
 
Kweli mkuu Covid imevuruga mambo mengi sana,nakuja pm unisaidie maswali muhimu uliyoulizwa kwenye Interview.
 
Kuna kaposho kokote wanatoa? Au mtu unaishia kuchoma mafuta tu
Ukiitwa training, interview au orientation hupewi hata mia. Ukianza internship wanalipa laki na nusu kwa mwezi. So ukibahatika ofisi utakayopangiwa kufanya hiyo internship wakawa na huruma ndio utapona
 
Kweli mkuu Covid imevuruga mambo mengi sana,nakuja pm unisaidie maswali muhimu uliyoulizwa kwenye Interview.
Interview ya pale unategemea na taaluma uliyonayo pamoja na masuala mtambuka katika jamii
 
Ukiitwa training, interview au orientation hupewi hata mia. Ukianza internship wanalipa laki na nusu kwa mwezi. So ukibahatika ofisi utakayopangiwa kufanya hiyo internship wakawa na huruma ndio utapona
Iv hawawez wakakupeleka ata magogoni pale?
 
Interview ya pale unategemea na taaluma uliyonayo pamoja na masuala mtambuka katika jamii
Vipi mkuu ushawahi piga interview pale
 
Yap, enzi nikiwa na njaa kali nilirudisha mpira kwa kipa TAESA
Hivi Hawa ofisi zao ziko maeneo gani? Na kwa mtu anayekaa Gongolamboto apande usafiri wa kwenda wapi
 
Hivi Hawa ofisi zao ziko maeneo gani? Na kwa mtu anayekaa Gongolamboto apande usafiri wa kwenda wapi
Panda gari za kwenda Postal/kivukoni omba kushukia CBE (nimesahau kituo kinaiwaje). Ukishuka vuka upande wa pili kisha uliza TAESA au Labour court(mahakama ya kazi) basi TAESA na hiyo labour court zimefuatana. Japo kwa nje ofisi ya TAESA inatia huruma kidogo.
Unapoenda kujisajiri mara ya kwanza hakikisha unabeba vyeti vyako ORIGINAL vya kitaaluma.
 
Sio tuu kutia huruma na kuvunjisha maini pia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…