BABA TUPAC
JF-Expert Member
- Sep 30, 2015
- 1,533
- 3,837
nimewapigia leo huduma kwa wateja NHIF wamesema zile post zilizo sahaulika wataweka matokeo pia kuanzia wiki lijalo
Walisahau??? Hahahaha
nimewapigia leo huduma kwa wateja NHIF wamesema zile post zilizo sahaulika wataweka matokeo pia kuanzia wiki lijalo
lakini tujiulize,walisahau au hizo position husika ndo zilikuwa zinapigwa juu kwa juuWalisahau??? Hahahaha
hakuna jipya tena jamanii!!1lakini tujiulize,walisahau au hizo position husika ndo zilikuwa zinapigwa juu kwa juu
possibly,kwasababu hawaweki majina kabsa ni namba tu.Ila kma hujui namba yako ndo imekula kwako nauliza?
kazi kwelikweli,possibly,kwasababu hawaweki majina kabsa ni namba tu.
tatizo ni liniii??!!!!
ukipiga cmu kuuliza ,jamaa anajibu hajui muda
hivi kama serikali imesimamisha kuajiri watu kweli,hizi nafasi si ndio zimepepea hivi au sio hivuo wadau wa humu.kama zipo mbona hawamalizii kutua majawabu na kuita watu kweny oral!!Hawa jamaa hawako serious kabisa na kazi yao au wana magumashi wameyafanya sasa wanaogopa kutumbuka. Tangazo la kazi lilitolewa November, Interview February, matokeo ya Interview June na hapo unaambiwa baada ya matokeo watatangaza shortlisted for Oral interview, Ni shiiiiiida
Multiple choice 20 Questions za ClassNjooni mtupe clue za interview Nhif kwa ambao walifanya
Ok. Ila saiz wanaendesha tume ya AjiraMultiple choice 20 Questions za Class