Kuitwa kwenye Usaili NHIF

Kuitwa kwenye Usaili NHIF

Mi pia Mwanangu atafanya hiyo usahili lakini kama formality tu maana tuna "Godfather" yupo kwenye Bodi kisha tuhakikishia nafasi
 
Any clue dondosha hapa kwa waliowahi ku-attempt written interview ya NHIF before sio mbaya ukisaidia maswali yapo kwenye trend ipi ni general questions ama ni questions related to NHIF, msikabe basi wenye awareness.
 
Sio mbaya tutakwenda kujaribu bahati kama ipo ipo, never give up, face your fear one day yes.
 
Mnamo mwezi Nov 2015 NHIF ilitoa tangazo la nafasi za kazi. Kila nafasi walihitaji watu 2 au 3 au 4 Sasa watu wameitwa kwa interview lakini unakuta nafasi zipo Tatu (3) na wameita watu 1700! Hii ina maana gani? katika taratibu za ajira nafasi moja inapaswa kugombewa na watu angalau 3 au hata wakiongezeka kidogo si mbaya.

Sasa kwa staili yenu nafasi moja inagombewa na watu zaidi ya 550! Kwanini kuwasumbua watu? Vijana wengine wako mikoani huko mbali hata nauli hawana wasafiri mpaka Dar (manake interview inafanyika DUCE), lakini nafasi za kshinda ni ndogo sana. Candidates wauri wapo wengi tu sio lazimauweke wigo mpana namna hiyo katika kutafuta watu wazuri.

Tafadhali waoneeni huruma vijana wetu kwa kutokuwapa matumaini yasiyotimilika!Tangazo la kazi pia linaonekana hapa 46 Jobs at National Health Insurance Fund (NHIF) 4 NOV 2015 | Jobs in Tanzania
Tangazo la kuitwa kwenye interview hili hapa kama linavyoonekana kwenye website ya NHIF hii ni kwa nafasi ya "membership officer".
http://www.nhif.or.tz/index.php/careers1/39-membership-officers/file
 
Back
Top Bottom