Kubeti.... Huko ni full mikekaHuko wanaenda kufanya kazi zipi
Kubeti.... Huko ni full mikekaHuko wanaenda kufanya kazi zipi
Kuanzia managers hadi attendant ni mwendo wa kutandika Mikeka tu😅😅Kubeti.... Huko ni full mikeka
HahahahaKuanzia managers hadi attendant ni mwendo wa kutandika Mikeka tu
Ndio inaonekana na wao watahamia DodomaHawa Jamaa naona wametangaza tenda ya networking na kufunga Umeme ofisi zao huko Dodoma,INA maana na wao watahamia Dodoma au??
Kwani umecheki sehemu mulipoambiwa wataweka matokeo hakuna?Hawa Jamaa bado hawajaachia majina??
Bado aisee,walisema wataweka kwenye site yao Ila bado.Kwani umecheki sehemu mulipoambiwa wataweka matokeo hakuna?
Sio kwamba walisema baada ya week mbili, na ndo kwanza week ya kwanza imeisha cha msingi ni kuwa na uvumilivuBado aisee,walisema wataweka kwenye site yao Ila bado.
Walisema ndani ya siku 14Sio kwamba walisema baada ya week mbili, na ndo kwanza week ya kwanza imeisha cha msingi ni kuwa na uvumilivu
Sawa na week 2 hizo.. Tuendelee kungojaWalisema ndani ya siku 14
Wanatuzingua nadhani wamefanyisha interview kukamilisha formality tu.