Kuitwa kwenye uptitude test TPb benk

Kuitwa kwenye uptitude test TPb benk

Mie pia Nimeitwa sasa sijui hizo test zao zinakuaje mwenye ufahamu atusaidie Jaman
Aptitude test Zinakua hivi... Ni upuuzi mtupu
Screenshot_2019-07-29-07-36-27.jpeg
Screenshot_2019-07-29-07-36-54.jpeg
Screenshot_2019-07-29-07-37-49.jpeg
 
Mkuu wewe sema atapata but usijipe asilimia 100%....cha msingi muombe mungu amsaidie huko alipoenda afanikiwe...na rafiki angu mtoto wa kibosile mmoja mkubwa sana huko kwenye kitengo,tangu tunasoma chuo alikua na uhakika wa kuingia huko...kamaliza jkt vizuri kuingia kwenye kitengo mambo yamegoma mpaka leo....hii nchi ilipofikia sahivi hata uwe mtoto wa waziri mkuu usijipe asilimia zote...jiwe kuna siku nilimsikia anamchana naibu waziri mambo ya ndani kuwa kunavijana wake watano alitaka kuwaingiza polisi ikashindikana so asidhani jiwe hajui...sasa kama naibu waziri anashindwa nani anauhakika
Aisee noma kweli
 
Samoja walisema watatuma message kama umepita..yani kuingia oral interview kesho ama keshokutwa...
 
Vipi mmetumiwa meseji za matokeo au nao wameita wa internship bila kufanya written kama wenzao?
Jamaa umepanick sana na BRELA UTUMISHI ukistress nao watakukausha kizazi asee😃😃 mi nimegonga ORAL 3 na juzi nimegonga ya 4 nawasikilizia hapa.
 
Back
Top Bottom