Kuitwa kwenye uptitude test TPb benk

Kuitwa kwenye uptitude test TPb benk

Braibrizy

Member
Joined
Apr 6, 2014
Posts
29
Reaction score
548
Ndugu zangu wana jamvi, wale tulioomba nafasi za Bank operation officers ktk benk ya Tpb majib tayar, vp kuna mtu yeyote mwenye taarifa pia..?
 
Ulifanikiwa Kiongozi
hapana mwamba,ilikuwa hivi

Tulienda kupiga hiyo test pale tanga korogwe
Tulikuwa kama 62,Tulifanya mchuji wa kwanza kwa kupiga test hiyo watu 62 wote majibu yakatoka siku hiyo hiyo tukachukuliwa 22 kuingia katika oral tulifanya oral mpaka saaa 3 kasoro usiku maana walisema kesho yake kuna orientation pale HQ posta kwhy lazima wapate mtu siku hiyohiyo walitaka watu 2 korogwe na kilindi majibu ya oral hawakutoa walikuja kupigia watu simu asubuhi kwa waliofanikiwa ,kuna jamaa tuliongea naye kwny folen ya kuingia oral kuwa kesho yake tuondoke wote kurudi dar kwhy tukiamka tu tupigiane simu tuanze safari mpaka stand tuchukua basi moja turud dar..kilichotokea jamaa asubuhi tunampigia anasema hapana nyie tangulieni mie nipo kidogi basi tukawa tupo kigroup kidogo tunaend stand mida ya saa 1 asubuhi hivi jamaa anatupigia simu kuwa amechaguliwa tukashukuru Mungu tukaendelea na safari ila pepa yao kuwa mjanja sanaaa na zile hesabu kuwa na speed katika calculations.
kuhusu grammar hapo kazi kwako
 
Mm pia niliomba, ila sijapata email yao location ya interview ni wap?
CALL FOR APTITUDE TEST.
We would like to inform you that you have been selected to attend an aptitude test for the position of Banking Operations Officer. The test will be conducted on Wednesday 31/07/2019, at 12.30pm. The venue will be at The University of Dar es salaam, College of Information and Communication Technologies(Luhanga Hall)next to TTCL Office Kijitonyama located along Bagamoyo road (Science Bus stand) in Dar es salaam . Remember to bring with you a pen and your original academic certificates
You are highly welcome.
Tpb is an equal opportunity employer!
Regards
Tpb Bank Plc
 
CALL FOR APTITUDE TEST.
We would like to inform you that you have been selected to attend an aptitude test for the position of Banking Operations Officer. The test will be conducted on Wednesday 31/07/2019, at 12.30pm. The venue will be at The University of Dar es salaam, College of Information and Communication Technologies(Luhanga Hall)next to TTCL Office Kijitonyama located along Bagamoyo road (Science Bus stand) in Dar es salaam . Remember to bring with you a pen and your original academic certificates
You are highly welcome.
Tpb is an equal opportunity employer!
Regards
Tpb Bank Plc
asee hatari sana yaan dogo langu bora nilivyompeleka JKT tu.
 
asee hatari sana yaan dogo langu bora nilivyompeleka JKT tu.
Hamna hata cha ubora washkaji zangu wamerudi juzijuzi wamekaa miaka 3 wamechakaaa, bora hata ungempeleka kijijini ukampa alime heka zake za vitunguu apate hela kuliko kwenda kulilimia jeshi alafu unatoka kapa, so usifurah saanaaa muombee tu Mungu maisha yamebadilika
 
Hamna hata cha ubora washkaji zangu wamerudi juzijuzi wamekaa miaka 3 wamechakaaa, bora hata ungempeleka kijijini ukampa alime heka zake za vitunguu apate hela kuliko kwenda kulilimia jeshi alafu unatoka kapa, so usifurah saanaaa muombee tu Mungu maisha yamebadilika
Atapata ndio maana nimempeleka huko. Nina uhakika 300% atapata.
 
Atapata ndio maana nimempeleka huko. Nina uhakika 300% atapata.
Mkuu wewe sema atapata but usijipe asilimia 100%....cha msingi muombe mungu amsaidie huko alipoenda afanikiwe...na rafiki angu mtoto wa kibosile mmoja mkubwa sana huko kwenye kitengo,tangu tunasoma chuo alikua na uhakika wa kuingia huko...kamaliza jkt vizuri kuingia kwenye kitengo mambo yamegoma mpaka leo....hii nchi ilipofikia sahivi hata uwe mtoto wa waziri mkuu usijipe asilimia zote...jiwe kuna siku nilimsikia anamchana naibu waziri mambo ya ndani kuwa kunavijana wake watano alitaka kuwaingiza polisi ikashindikana so asidhani jiwe hajui...sasa kama naibu waziri anashindwa nani anauhakika
 
Back
Top Bottom