LuCKNOVICH
Senior Member
- Jan 22, 2011
- 104
- 11
Msaada wakuu.
unapigiwa simu kwa no ya cellfon kwamba unaitwa kiuoni kwa shitaka.Nataka kujua ni utaratibu gani unatumika kumwita mtu kituo cha police.Takuwa na uhakika gani kama huyo aliyenipigia cm ni askai.Nisaidieni.
unapigiwa simu kwa no ya cellfon kwamba unaitwa kiuoni kwa shitaka.Nataka kujua ni utaratibu gani unatumika kumwita mtu kituo cha police.Takuwa na uhakika gani kama huyo aliyenipigia cm ni askai.Nisaidieni.