Kuitwa kituo cha polisi

LuCKNOVICH

Senior Member
Jan 22, 2011
104
11
Msaada wakuu.
unapigiwa simu kwa no ya cellfon kwamba unaitwa kiuoni kwa shitaka.Nataka kujua ni utaratibu gani unatumika kumwita mtu kituo cha police.Takuwa na uhakika gani kama huyo aliyenipigia cm ni askai.Nisaidieni.
 
Kisheria hakuna utaratibu wa namna hiyo wa kuitwa Polisi.Huo ni utaratibu wa kuitwa kuchukua zawadi za promosheni za Tigo,AIRTEL,VODA na ZANTEL.Ni uhuni tu huo.....usiende.
 
Kisheria hakuna utaratibu wa namna hiyo wa kuitwa Polisi.Huo ni utaratibu wa kuitwa kuchukua zawadi za promosheni za Tigo,AIRTEL,VODA na ZANTEL.Ni uhuni tu huo.....usiende.

hata utaratibu wa kumkata raia askari atumie vielelezo gan? Je askari anaruhusiwa kumshambulia raia kisheria?
 
Back
Top Bottom