'kuishi kwa dada'

Sasa dume zima utaendaje
kuishi kwa dadako aliyeolewa??unaamka asubuhi unagombania chai na
h/girl?! kwangu mimi haijakaa poa hata kidogo! Kwani huyo shemeji ameoa
ukoo mzima?labda kama dada hajaolewa it might make sense.

Vp wale wanaokaa kwa kaka yao aliyeoa?
 
Mtambuzi kuna watu wanasemea haya mambo ya extended family sijui wakati wa kusoma na mambo kama hayo
Ila nayo yana muda wake bana
Huwezi kusema kusaidiana unakaa na kaka yake anafanya kazi ila bado anaishi kwako kisa extended family
Huwezi kuendelea kukaa na kaka yako ambaye amemaliza masomo na hujaona juhudi zake za kutafuta kazi kisa tuu ni kuwa unataka umsaidie
Kuna mipaka na umri pia
Usitake kuniambia kaka yako ana miaka 30 bado yuko kwako unazidi kumsaidia kisa extended family au sijui kwenu kuna matatizo
Duh kuwe na mipaka bana

Unajua braza Mr Rocky kinachogomba hapa ni ile hali ya kuwamis'treat' watu wanaokaa kwa dada zao..yaan jamii imeshakuwa na kama streotype flani kuwa kukaa kwa dada yako ni ushenzi..no matter what. Na kama alivyosema nyumba kubwa na wadau wengine like sakapal et al..kuwa kuna kuishi kwa dada kwa nia ya wewek ujijenga na pia inaweza kuwa ukoo wenu mmetanguliwa na wanawake. So kwa vyovyote vile lazima dadaako atakuwa na 'stake' kwenye makuzi yako.

Hatukatai mtu mvivu kufukuzwa na kuambiwa akajitegemee..but how do you consider the entire saga?..Does this happen to rescue the love of the two hata kama wana nyumba kubwa ya kuishi????
 
Last edited by a moderator:
Mi najua tatizo ni kuiga western culture huku tunasahau kuwa kwa wenzetu serikali zina mfumo wa kuhudumia watu wasio na uwezo/ wasio na kazi na wazee.

Tamaduni zetu za kibantu zinakufa wakati context ilotufanya tuwe na hizi tamaduni haijabadilika...umasikini

Ona Kenyans wanavyotoka. Kuna dada nilikuwa nae huku ugahibuni ananmbia anasomeshwa na ukoo.

Watu wanashindana ili koo zao zisiwe nyuma...sisi tukitoka tunafanya juhudi kuhakikisha hakuna wa kutukaribia ili tuendelee kusujudiwa.
nyumba kubwa tushapotez avingi sana ambavyo vilikuwa vinatuweka kwenye real ndugu
Yaani vile vitu tulivyokuwa tunajivunia vimeushikkilia undugu havipo tena
Tena kwa upande mwingine watu wanawaogopa ndugu zao kupindukia
Maana seme umpe ndugu biashara yako asimamie ndo anakuangusha
ukimpa mtaji afanye biashara ili umnyanyue yeye na yeye awanyanyue wengine ndio kama umempa hela ya kwenda kufanya starehe
Ukisema umpe hata kazi fulani asimamie yeye ndio anashirikiana na wengine kuhakikisha kuwa hiyo kazi haikamiliki au kukuibia
Sijui vile vitu vilitufanya tupendane na tufanye mambo ya maendeleo kunyanyuana vimeishia wapi
 
Last edited by a moderator:
Unajua braza Mr Rocky kinachogomba hapa ni ile hali ya kuwamis'treat' watu wanaokaa kwa dada zao..yaan jamii imeshakuwa na kama streotype flani kuwa kukaa kwa dada yako ni ushenzi..no matter what. Na kama alivyosema nyumba kubwa na wadau wengine like sakapal et al..kuwa kuna kuishi kwa dada kwa nia ya wewek ujijenga na pia inaweza kuwa ukoo wenu mmetanguliwa na wanawake. So kwa vyovyote vile lazima dadaako atakuwa na 'stake' kwenye makuzi yako.

Hatukatai mtu mvivu kufukuzwa na kuambiwa akajitegemee..but how do you consider the entire saga?..Does this happen to rescue the love of the two hata kama wana nyumba kubwa ya kuishi????
SnowBall hiyo kitu inatokea kwa sababu maalum
Kwa sababu mhusika yeye haoni tatizo haoni shida kukaa kwa dada yake wala akiambiw ahaoni kama ni issue
Je tunapomjudge mtu kama huyo tuna sababu au je ana uwezo wa kukaa kwake ila hajapenda kukaa kwake
Je ana kila sababu ya yeye kuondoka pale kwa dada yake ila hajafanya hivyo bila sababu
Je wanaoishi pale yaani dada na shemeji yake wanamtreat vipi huyo jamaa
Hatukatai kwa jamii na kwa vijana wenzako utaonekana wa ajabu unapong'ang'ania kukaa kwa dada ila kama una valid reasons hakuna sababu ya kumtreat vibaya mtu kama huyo
 
Last edited by a moderator:
acha tu nipite.....

maana sidhani kama kuna mtu anapenda kuishi kwa dada au kaka yake au ndugu yoyote....
nadhani ni ugumu na matatizo ya dunia....
sema kwa vile mtu hatembei na bango la matatizo yake mtu huwezi kuona wala kujua zaidi ya kunyoosha vidole...

hivyo acha nisonge mbele.....
kuna watu sijui wanaogopa maisha au wanapenda tu kukaa kwa watu. sio wote wanaokaa kwa watu wanastahili.
kuna siku nilimtembelea rafiki yangu. jioni ilipofika shemeji yake akarudi toka kazini. ni mtu mzima na ana mke na watoto ambao wanakaa mji mwingine. ana kazi nzuri na mshahara wa kutosha tu lakini anasema hawezi kupanga nyumba miji mi2, i.e. nyumba ambayo mkewe anakaa na watoto, na hapo anapokaa yeye, kwa hiyo kaamua anakaa kwa kaka yake mpaka further notice, lol!
 
you people do you want o tell me kwamba kwako huwez kuruhusu ndugu aje akae hata kama hana kazi ama muda maalum? Aisee basi nafikir i will differ with everyone here except nyumba kubwa pekeyake. yaaani mimi kwangu na kaa na ndugu wengi san aand infact they are my cheap labour and so far pia naasaidia kujikwamua kimaisha sina uwezo sana lkn pia nishee nao ninachokipata.

mfano huwa kabisa nikitaka mtu wa kaunisaidia labda kazi kama kusimamia miradi yangu naendaga kuchukua kijijini kwetu kwa ndugu zangu na huwa nakuwa very strict juu yao na nawapa masharti na usimamizi mkali sana kiasi kwamba baada ya muda huwa wanaibauka kuwa na biashara zao wanaondoka kwangu. tena hapa tutakula na kuanywa ila kama kawaida yangaau ufujaji wa mali zangu marufuku. napiga hesabu hadi uzi ulioko ndania na maji ya kuflash yanayotumika ndani.
 
Last edited by a moderator:
Ila tuseme ukweli we kaka mtu mzima kukaa kwa dada hata sio kabisa, unakutana na shem wako ametoka kumshughulikia dada yako haaaaa!!!!!! hapana alafu afadhali uwe unapatana na shem wako kama hampatani lol ndio atakuoneshea kiburi kabisa kwamba kama ifuatavyo ndio naenda kujimegea kiulaiini. kweli mi sishauri labda kama huna jinsi.
 
Hilo ni kweli nakubali ila solution ni kuwa usipende kutumikisha ndugu...mpe mtaji asepe.

Kuna watoto wa ndugu zangu ambao ni wakubwa wa kunizaa wana ugomvi kiasi kuwa hata wakikutana baranarani hawasalimiani.

Kisa; mkubwa ni msomi aliyeamua kuanzisha biashara toka akiwa kijana. Biashara zikamtoa akamchukua mdogo mtu aje amsaidie biashara. Mdogo wake ni form four tu. Mdogo mtu baada ya miaka michace akahama kwa kaka yake na akaanzisha biashara na tunavyoongea hivi wote ni mamilionea ila mdogo mtu ana pesa mara mbili ya kaka yake.

Na hicho ndio kisa kaka mtu hataki hata kumwona mdogo wake..watu wamejaribu kuwasuluhisha; huyu kaka anasema eti ameniibia alikuja toka bush akiwa hana kitu.

Mimi naona huyu kaka ana roho mbaya tu alitaka mdogo wake aendelee kuwa mtumwa. Hivi mdogo wako akikuibia kwa akili, bila kukufilisi, nae akatoka unachukia nini?

Sampuli hii wako wengi kweli...wanaishia kugeuza wadogo zao madereva wa watoto wao kuwapeleka shule...wanaona wakitoka watapoteza cheap labor; plus wivu.


nyumba kubwa tushapotez avingi sana ambavyo vilikuwa vinatuweka kwenye real ndugu
Yaani vile vitu tulivyokuwa tunajivunia vimeushikkilia undugu havipo tena
Tena kwa upande mwingine watu wanawaogopa ndugu zao kupindukia
Maana seme umpe ndugu biashara yako asimamie ndo anakuangusha
ukimpa mtaji afanye biashara ili umnyanyue yeye na yeye awanyanyue wengine ndio kama umempa hela ya kwenda kufanya starehe
Ukisema umpe hata kazi fulani asimamie yeye ndio anashirikiana na wengine kuhakikisha kuwa hiyo kazi haikamiliki au kukuibia
Sijui vile vitu vilitufanya tupendane na tufanye mambo ya maendeleo kunyanyuana vimeishia wapi
 
Dada yako atashughulikiwa tu whether unakaa nae au unakaa mbali. Lol.


Ila tuseme ukweli we kaka mtu mzima kukaa kwa dada hata sio kabisa, unakutana na shem wako ametoka kumshughulikia dada yako haaaaa!!!!!! hapana alafu afadhali uwe unapatana na shem wako kama hampatani lol ndio atakuoneshea kiburi kabisa kwamba kama ifuatavyo ndio naenda kujimegea kiulaiini. kweli mi sishauri labda kama huna jinsi.
 
Kama walivyosema wachangiaji waliotangulia, wengi tunakaa kwa ndgu kwa sababu fulani fulani, ni wachache wanaokaa kwa maana ya kukaa tu

Lakini hayo yote tisa, kumi ni kwamba jamii ina mashaka na baadhi ya watu kukaa kwa wana ndoa. Hii ni kutokana na uzoefu kwamba hawa watu (mfano kaka, wifi n.k) huwa wanaweka 'usiku' ktk maisha ya wana ndoa husika. Kwa uzoefu wangu mtu pekee ambaye jamii inaonekana kumkubali kukaa kwa wanandoa ni mdogo wa kike wa wife. The rest ni masimango tu
 
Ila tuseme ukweli we kaka mtu mzima kukaa kwa dada hata sio kabisa, unakutana na shem wako ametoka kumshughulikia dada yako haaaaa!!!!!! hapana alafu afadhali uwe unapatana na shem wako kama hampatani lol ndio atakuoneshea kiburi kabisa kwamba kama ifuatavyo ndio naenda kujimegea kiulaiini. kweli mi sishauri labda kama huna jinsi.

Kwani shemeji yako akim'do dadaako ambaye ni mkewe wewe inakukera nini???
Kwani hata usipokaa kwake si 'moyoni mwako unajua anam'do'.au?
Na sidhani kama watakuwa wanafanyia mapenzi yao koridoni...
 
Kwa uzoefu wangu mtu pekee ambaye jamii inaonekana kumkubali kukaa kwa wanandoa ni mdogo wa kike wa wife. The rest ni masimango tu

Kwa nini huyu ionekane ni sahihi kukaa kwa shemejie mito ?
Kwani naye si anakaa kwa shemejie kwani huyu hawabani????
 
Last edited by a moderator:
acha tu nipite.....

maana sidhani kama kuna mtu anapenda kuishi kwa dada au kaka yake au ndugu yoyote....
nadhani ni ugumu na matatizo ya dunia....
sema kwa vile mtu hatembei na bango la matatizo yake mtu huwezi kuona wala kujua zaidi ya kunyoosha vidole...

hivyo acha nisonge mbele.....

Nakufuata nyuma mpendwa, mguu wako ukitoa naweka wangu...

Yaani haya maneno uliyosema hapa ni yenyewe kabisa, nikiongeza kitu ntaharibu mchuzi.....(tena nna hakika yamewagusa wengi)
 
kuna watu sijui wanaogopa maisha au wanapenda tu kukaa kwa watu. sio wote wanaokaa kwa watu wanastahili.
kuna siku nilimtembelea rafiki yangu. jioni ilipofika shemeji yake akarudi toka kazini. ni mtu mzima na ana mke na watoto ambao wanakaa mji mwingine. ana kazi nzuri na mshahara wa kutosha tu lakini anasema hawezi kupanga nyumba miji mi2, i.e. nyumba ambayo mkewe anakaa na watoto, na hapo anapokaa yeye, kwa hiyo kaamua anakaa kwa kaka yake mpaka further notice, lol!

Huyu shemeji naye kiboko, lakini anachangia 'mafuta' kidogo au ndio tena hawezi kununua mafuta ya miji miwili?
 
Huyu shemeji naye kiboko, lakini anachangia 'mafuta' kidogo au ndio tena hawezi kununua mafuta ya miji miwili?
Ni kwamba hata sabuni ya kuogea mwenyewe na colgate ni vile vya watoto na hg kule bafu la common, nini kuchangia chumvi
 
Kwa nini huyu ionekane ni sahihi kukaa kwa shemejie mito ?
Kwani naye si anakaa kwa shemejie kwani huyu hawabani????

Yes, huyo haweki 'kiwingu' sana kama hao wengine, pia anaweza kuthibitiwa kirahisi (na mama mwenye nyumba) kuliko hao wengine.
Nimetaja mama mwenye nyumba kwa sababu ndo anakaa home muda mrefu kuliko mwanaume, hivyo ndo ana-interact zaidi na wanaoishi hapo ndani kuliko mumewe
 
Nimeipenda hii.Sasa kuna kaka wengine wanakaa kwa dada zao alafu wanaolea hapo hapo ata kama wana kazi hawataki kuhama sababu shemeji yao anazo
 
This Message Has been Deleted By Shemeji.

Reason:Kaambiwa na Dada aifute

hapa una maana dada anamtetea mdogo wake aendelee kukaa pale nyumbani au shemeji mtu na yeye ni *****? Lakini mtoto wa kiume kuendelea kukaa kwa dada bila sababu maalum ni aibu
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom