SnowBall
JF-Expert Member
- Sep 13, 2011
- 3,054
- 2,840
WanaMMU
Mwanzoni nilidhani ni Utani..but as i speak now it seems that this has been common and people take it for granted.
Niliwahi kumsikia Masanja yule we Zecomedy akisema 'Nikushukuru wewe unayekaa kwa dadaako halaf umetulia na remote unaangalia kipindi'. Nikaja nikamsikia konda mmoja naye akimwambia mtu mmoja 'Mtu mwenyewe unakaa kwa dadaako halaf unajifanya kuringa'.
Nilijua watu hawa wanafanya utani tu..but mpaka naileta hii issue hapa kuna mtu ninayemheshimu naye nimemsikia anasema 'Bro..yaan yule dogo haoni hata noma kukaa pale kwa sister wake'. Hivi Jamani DADA zetu hawaruhusiwi kuwalea ndugu zao??..Kwa nini tunakuwa na negative perception kwenye hili suala?..Labda kwa wenye kuelewa zaidi kwa nini KUISHI KWA DADA ni soo watudadavulie hapa basi!
Ahsanteni!
Mwanzoni nilidhani ni Utani..but as i speak now it seems that this has been common and people take it for granted.
Niliwahi kumsikia Masanja yule we Zecomedy akisema 'Nikushukuru wewe unayekaa kwa dadaako halaf umetulia na remote unaangalia kipindi'. Nikaja nikamsikia konda mmoja naye akimwambia mtu mmoja 'Mtu mwenyewe unakaa kwa dadaako halaf unajifanya kuringa'.
Nilijua watu hawa wanafanya utani tu..but mpaka naileta hii issue hapa kuna mtu ninayemheshimu naye nimemsikia anasema 'Bro..yaan yule dogo haoni hata noma kukaa pale kwa sister wake'. Hivi Jamani DADA zetu hawaruhusiwi kuwalea ndugu zao??..Kwa nini tunakuwa na negative perception kwenye hili suala?..Labda kwa wenye kuelewa zaidi kwa nini KUISHI KWA DADA ni soo watudadavulie hapa basi!
Ahsanteni!