sakapal
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 1,804
- 1,424
Lazima mume awe na uwezo eh?
BTW sakapal salama??
Salama SnowBall
yeah coz kama mume hana uwezo atakaye kuja kaa hapo kwa shemejiye wa kubangaiza atakuwa anatafuta kugombanisha ndoa ya dada yake tu au labda mume hana uwezo ila dada yake kazikamata na hapa ni shida coz atajidai mali za sister, kwa wali wanawake waliofundwa hapa wataambia ndugu zao hz mali za mwanume sio zangu ili kuweka heshima kwa mumewe asionekane choka mbaya, na ufanye hivo halafu mwanaume mwenyewe akutende looh kazi kweli utakuwa unafanya wema then unaishia hungoji shukrani kweli yataka moyo...