Kuishi Duniani hakuhitaji Akili (Siri iliyojificha)

Kuishi Duniani hakuhitaji Akili (Siri iliyojificha)

Nasikitika kusema hili ndio bandiko dhaifu zaid kulisoma tangu niijue jf miaka 2007
 
Watakuelewa tu
Ila kumbuka Mungu ametuumba binadamu kuwa ni wabora zaidi kuliko viumbe wengine kwa akili aliyotupa
Kweli Mungu ndio anaegawa riziki na sisi jukumu letu ni kutafuta au inakuja kwa njia nyingine.
 
Watakuelewa tu
Ila kumbuka Mungu ametuumba binadamu kuwa ni wabora zaidi kuliko viumbe wengine kwa akili aliyotupa
Kweli Mungu ndio anaegawa riziki na sisi jukumu letu ni kutafuta au inakuja kwa njia nyingine.


Mtu huwa bora kwa kumcha Mungu. Imeandikwa Bora mbwa kuliko simba aliyekufa.
 
Biblia yenyewe inasema, Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa.

Halafu wewe unataka kupotosha watu, acha mara moja maana kusikiliza sauti ya Mungu kunahitaji akili tena ya kiwango cha juu, bila akili Musa asingeweza kusikiliza sauti ya Mungu ktk kuongoza wana waisraeli.

Siungi mkono hoja kwa sababu nilizoandika hapo juu.
 
Biblia yenyewe inasema, Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa.

Halafu wewe unataka kupotosha watu, acha mara moja maana kusikiliza sauti ya Mungu kunahitaji akili tena ya kiwango cha juu, bila akili Musa asingeweza kusikiliza sauti ya Mungu ktk kuongoza wana waisraeli.

Siungi mkono hoja kwa sababu nilizoandika hapo juu.

Hii itamaliza kila kitu. Kumcha Bwana ni chanzo cha maarifa.
Usikurupuke, watu hicho kitabu tumekifungua tokea tupo kindergaten
 
Akili haikupi ugali bali kushika sheria za Mungu ndio kunakupa ugali na maisha mazuri. Sheria haihitaji utumie akili bali inahitaji utii tuu basi nenda jeshini utaelewa
Hilo kawadanganye wengine Sio Mimi
Maana unaleta stor za yai na Kuku.
Unatolea mfano wa wanajeshi ambao mpaka boxer zao wananunulia kodi zetu!
 
Mkuu wewe endelea tu kuishi kama kuku,yani usitume akili kabisaa! Yani hata zile akili za kuvukia barabara usizitumie.

Kisha utaleta mrejesho hapa jukwaani.
 
UMENITIA NGUVU MPYA HUU UZI.

BARIKIWA SANA MLETA MADA
 
Back
Top Bottom