Kuishi Dar ndio dharau kiasi hiki

Kuishi Dar ndio dharau kiasi hiki

moesy

JF-Expert Member
Joined
Oct 30, 2012
Posts
3,555
Reaction score
3,539
Kuna jamaa yangu anayeishi Dar nilimkopesha tsh 200,000 mwezi desemba 2012 kwa ahadi ya kurudisha ndani ya mwezi 1.
Nina jaribu kumwomba anirudishie anakua mkali,anasema hana fedha kama polisi nimpleke,kwanza yeye ni mtoto wa mjini (dar), hakuna mtu yeyote wa mkoani anambabaisha wa mkoani wote washamba tu na vijidudumtu.

wanaJF uyu bwana katumia defence mechanism ili nisimdai,na mbaya zaidi hatukuandikishia kwani nilimuamini.

je Kuna mbinu yoyote ya kumfanya uyu bwana anilipe? au niandike maumivu?
 
kuna jamaa yangu anayeishi dar nilimkopesha tsh 200,000 mwezi desemba 2012 kwa ahadi ya kurudisha ndani ya mwezi 1.
Nina jaribu kumwomba anirudishie anakua mkali,anasema hana fedha kama polisi nimpleke,kwanza yeye ni mtoto wa mjini(dar), hakuna mtu yeyote wa mkoani anambabaisha wa mkoani wote washamba tu na vijidudumtu.

wanaJF uyu bwana katumia defence mechanism ili nisimdai,na mbaya zaidi hatukuandikishia kwani nilimuamini.

je Kuna mbinu yoyote ya kumfanya uyu bwana anilipe? au niandike maumivu

andika umeumia.Harafu watanganyika wengi wakizaliwa na kuishi mijini wanajiona ndio wamemaliza kila kitu duniani.
 
andika umeumia.Harafu watanganyika wengi wakizaliwa na kuishi mijini wanajiona ndio wamemaliza kila kitu duniani.

wanasahau ya kwamba aya maisha ni ya kusaidiana,ndio maana yeye ni wa mjini lakini alivyopatwa na shida ya fedha nilimsaidia mimi anayeniita mtu wa mkoani
 
mawasiliano kati yako na yeye ndio ushahidi mkuu!
 
kuna jamaa yangu anayeishi dar nilimkopesha tsh 200,000 mwezi desemba 2012 kwa ahadi ya kurudisha ndani ya mwezi 1.
Nina jaribu kumwomba anirudishie anakua mkali,anasema hana fedha kama polisi nimpleke,kwanza yeye ni mtoto wa mjini(dar), hakuna mtu yeyote wa mkoani anambabaisha wa mkoani wote washamba tu na vijidudumtu.

wanaJF uyu bwana katumia defence mechanism ili nisimdai,na mbaya zaidi hatukuandikishia kwani nilimuamini.

je Kuna mbinu yoyote ya kumfanya uyu bwana anilipe? au niandike maumivu

Huyu anacheza na akili zako_wewe mfute huko huko dar then utajua la kufanya....ukiona anakuzingua wewe mtindue magumi ya kuvizia....kuna migogoro/matatizo mengine sio lazima utatue kwa diplomatic way_violence and force can be the best way to go.
 
Well said_dar folen,joto,shida ya maji(maji chinvi),uchafu,maisha taabu.....etc,etc

ebu waambie dar sio jehanamu,wanaofaidi maisha ya bongo ni wachache sana
 
mie naona wajanja na watoto wa mjini wapo Arusha na Mwanza, Hapa Dar ni ubabaifu tu........!
 
Mkuu kama uko dar, jaribu kumtumia rafiki yake wa karibu amshauri akulipe hata kidogo kidogo, akishamaliza kukulipa basi achana naye. Kama uko mkoani, duh hapo inabidi uwe makini maana mijitu ya hivyo inaweza kukupa hasara zaidi. Lakini pia, watu wa aina hiyo huwa hawafiki popote, kwa hiyo ushauri wa pili jaribu tu kuongea naye kwa lugha nzuri kabla hujapata pesa yako, ikishindikana mpe kumbukumbu itakayomkaa kichwani.
 
Mkuu kama uko dar, jaribu kumtumia rafiki yake wa karibu amshauri akulipe hata kidogo kidogo, akishamaliza kukulipa basi achana naye. Kama uko mkoani, duh hapo inabidi uwe makini maana mijitu ya hivyo inaweza kukupa hasara zaidi. Lakini pia, watu wa aina hiyo huwa hawafiki popote, kwa hiyo ushauri wa pili jaribu tu kuongea naye kwa lugha nzuri kabla hujapata pesa yako, ikishindikana mpe kumbukumbu itakayomkaa kichwani.

Naunga mkono hili la kumpa kumbukumbu itakayo mfanya asisahau...
 
wanaJF uyu bwana katumia defence mechanism ili nisimdai,na mbaya zaidi hatukuandikishia kwani nilimuamini.

Fundisho - usimkopeshe mtu bila kuandikishiana. Na ikibidi mnaandikishiana mbele ya mthibitishaji rasmi (notary public). Right now you have no leg to stand on. Hata ukimpeleka kwenye small claims court sidhani kama utashinda.

je Kuna mbinu yoyote ya kumfanya uyu bwana anilipe? au niandike maumivu

Mbinu ni kumtolea uvivu tu. Mpe msukosuko na ikiwezekana mpige kabisa. Ila ni kama tu unaweza kupigana naye na kumdunda. La sivyo never pick a fight where you know you gonna lose or are unsure whether you gonna beat the guy up or not.
 
Huyu anacheza na akili zako_wewe mfute huko huko dar then utajua la kufanya....ukiona anakuzingua wewe mtindue magumi ya kuvizia....kuna migogoro/matatizo mengine sio lazima utatue kwa diplomatic way_violence and force can be the best way to go.


mh ila jamaa kanizidi kama miaka10 alafu bonge la mtu ndio maana natafuta diplomatic kwanza.
 
Mkuu kama uko dar, jaribu kumtumia rafiki yake wa karibu amshauri akulipe hata kidogo kidogo, akishamaliza kukulipa basi achana naye. Kama uko mkoani, duh hapo inabidi uwe makini maana mijitu ya hivyo inaweza kukupa hasara zaidi. Lakini pia, watu wa aina hiyo huwa hawafiki popote, kwa hiyo ushauri wa pili jaribu tu kuongea naye kwa lugha nzuri kabla hujapata pesa yako, ikishindikana mpe kumbukumbu itakayomkaa kichwani.

ok ahsante,ila sipo dar, nimejaribu kumuomba na kunyenyekea(ingawa fedha ni yangu) lakini anaonyesha kutojari,na mbaya zaidi ata simu hapokei kwa sasa.
 
Back
Top Bottom