Kuingia kwenye ndoa ukiwa na miaka chini ya 25 ni sawa na kuoka disko saa 3 usiku

Hebu fikiria,
umetoka kwenye maisha ya kuchungwa na baba na mama, hali kadhalika hujafurahia maisha na wala huyajui kwani ulikuwa masomoni kwa muda wote.
Halafu ghafla unaingia kwenye kifungo kingine cha ndoa, hii ni sawa kabisa na kuingia kwenye disco la kukeshasaa mbili na nusu usiku na kisha kutoka saa tatu usiku.
Ili uwe kijana uliye mkamilifu, ni lazima uenjoy maisha yako mwenyewe na uhuru wako binafsi.

Sikubaliana na wewe Bujibuji. Itategemea sana na ukomavu wa akili wa yule aingiae ndoani.
Unaweza kuingia na miaka 18 na bado ukainjoi. Wewe na mwenzio tu inategemea mnachukuliaje ishu nzima ya ndoa
 
Last edited by a moderator:
Uko sahihi kabisaa. Kwanini ukimbilie majukumu kabla ujajitambua? Rafiki yangu yeye alimuoa binti wa miaka 24 wakapata mtoto mmoja then baada ya miaka2 tu ndoa ikamshinda Mwanamke, wakatengana uku ndoa ikiwa ilifungwa kanisani!!! Ndo nini sasa?

Japo inategemea na akili za mtu na tabia yake. Wengine wana olewa wakiwa na umri mdoga wanafaidi ndoa zao na maisha yanasonga. We kama unao upate mtumwa shauri yako,wenzako watawao hao 25s na bado maisha na raha zote watafaidi.
 
nakubaliana na wewe 100%,mke namna hii lazima asumbue badae vijana wa mjini lazima wamle sana tu
 
Suala la kuoa au kuolewa haliangalii umr...mi nimeoa nina miaka 20...na sasa nina miaka 22 sijawah kujutia ndoa yangu
 
kweli aisee,presha za ndoa cpend kabisa

Kumbe ndoa ni presha ee???
...
Misconseption dhidi ya ndoa imetawala ktk ulimwengu wa kileo!
...
Mimi ni bachela! But miaka sio kigezo kilichopelekea huu ubachela wangu!
Just ni life ndio inaleta homa mama!
...
Bujibuji unakaririsha watu!
In moral and religion teaching insist marriage in early period around 15 to 18 sharti uweze kumudu ndoa!
Even goverment law insist marriage frm 15 yrs for girls and 18 years for men!
Tuseme the rule of morality, religio and government hawana akili kupanga hivyo???
...
Wake up people kuoa mapema kunafaida nyingi kuliko hasara!
Na hasara zote zipatikanazo kwa wenye ndoa under 25 yrs zinapatikana kwa hao wenye miaka 40!!!
...
Kuenjoy life!
What does it mean?
Hauewezi kuenjoy life ukioa?
What kind of enjoyment do yo prefer Bujibuji?
Uzinzi na kwenda disco ndio kuenjoy!
Wake up!
Wake up!
Wake up!
Embu Mungu mnyooshee njia Mashaxizo waone atakavyojitwisha kimwana! Afu waone ni enjoyment gani atazikosa!
Life is soo sweat! Wenyewe tunajizonga tu!
...
Ama kweli "Out of site out of mind!"
Nasepa!
 
kama kuna kaukweli flani.sometime naona kama ningesubiri 25yrs and above ndio niolewe hasa akinikera
 
Suala la kuoa au kuolewa haliangalii umr...mi nimeoa nina miaka 20...na sasa nina miaka 22 sijawah kujutia ndoa yangu

Tafadhali kwa umri huo usichangie lolote kuhusu ndoa wewe bado sana ni nyege tu ndio zilikuongoza kutafuta mbunye ya uhakika utakayoikuta nyumbani.

Umri wako ni sahihi kwa Mwanamke kuolewa na mvulana kuoa.
 
Hebu fikiria,
umetoka kwenye maisha ya kuchungwa na baba na mama, hali kadhalika hujafurahia maisha na wala huyajui kwani ulikuwa masomoni kwa muda wote.
Halafu ghafla unaingia kwenye kifungo kingine cha ndoa, hii ni sawa kabisa na kuingia kwenye disco la kukeshasaa mbili na nusu usiku na kisha kutoka saa tatu usiku.
Ili uwe kijana uliye mkamilifu, ni lazima uenjoy maisha yako mwenyewe na uhuru wako binafsi.

Sasa kipi ni bora kati ya kuwa na mwenza wako wa maisha au kujifanya uko mwenyewe mwenyewe kisha kila siku washinda na kuamkia kimboka au kona bar? kudaka popo ili upate tulizo la ugaga./ugwadu .
 
nakubaliana na wewe 100%,mke namna hii lazima asumbue badae vijana wa mjini lazima wamle sana tu
Wale waendesha maguta, si unajua wanavyojua kusimamia kazi..... HAWASHUKI KIFUANI HADI WAKAUSHE KISIMA
punda.JPG
 
Hebu fikiria,
umetoka kwenye maisha ya kuchungwa na baba na mama, hali kadhalika hujafurahia maisha na wala huyajui kwani ulikuwa masomoni kwa muda wote.
Halafu ghafla unaingia kwenye kifungo kingine cha ndoa, hii ni sawa kabisa na kuingia kwenye disco la kukeshasaa mbili na nusu usiku na kisha kutoka saa tatu usiku.
Ili uwe kijana uliye mkamilifu, ni lazima uenjoy maisha yako mwenyewe na uhuru wako binafsi.

Mkuu swali kidogo, hii ni jinsi zote au?(Refer maana ya kijana) Make noana humu matangazo ya kutafta waume kwa madada wenye umri wa miaka zaidi ya 30. Make vijana wanakuwa wamehamia kule kwa Mulugo.
 
Yaan at 25 Unawaza kuponda raha? Ati kula maisha? Eb tafar upya, ungefirikia kwema mikakati ya kimae
 
Sikubaliana na wewe Bujibuji. Itategemea sana na ukomavu wa akili wa yule aingiae ndoani.
Unaweza kuingia na miaka 18 na bado ukainjoi. Wewe na mwenzio tu inategemea mnachukuliaje ishu nzima ya ndoa

Sikubaliani na wewe, ndoa nyingi zilizo fungwa chini ya umri wa 30yrs zina migogoro ya kufa mtu na wengi wametengana.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom