hekimatele
JF-Expert Member
- May 31, 2011
- 9,884
- 2,781
hekimatele wewe inatakiwa uwe marriage guru
Hi hi hi hi hi hi
Hilo suala la ndoa watu wengi wamelicomplicate na ndio maana kuna wengine mpaka leo wana miaka 35 bado hawajaoa kwa sababu hawaishi excuses. Kila siku wana visingizio. Wanaendelea kuchagua na kuchuja