Wakudadavuwa
JF-Expert Member
- Feb 17, 2016
- 17,506
- 15,997
Wanajaribu,
Katika hali iliyotabiriwa kinyume na "haters" sasa shirika la ndege la Tanzania limeongeza safari kutokana na mahitaji kuongezeka.Hata kule Katavi ambapo ndege ilikuwa haiendi hadi Rais alipoagiza sasa mahitaji yameongezeka.
Ni suala la muda tu muda umeumbua wengi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Katika hali iliyotabiriwa kinyume na "haters" sasa shirika la ndege la Tanzania limeongeza safari kutokana na mahitaji kuongezeka.Hata kule Katavi ambapo ndege ilikuwa haiendi hadi Rais alipoagiza sasa mahitaji yameongezeka.
Ni suala la muda tu muda umeumbua wengi.
Sent using Jamii Forums mobile app