Diego Costa yeye na golikipa anakosa goal, sasa ni faulo kwao nje kidogo ya box mpigaji anajulikana CR7, anapaisha!
Vp unavyoiona gemu Madrid Real watachomoka kweli?
Atletlico Madrid piga hao Real Madrid.
Full Time Real Madrid 0-1 AT Madrid,
A deserved victory for ATM
Na mpila umekwisha, Real Madrid kafungwa na Diego Costa.
Kuna siku niliuliza hapa, Madrid wamemuuza Ozil, nani atakua mpishi wa magoli, EMT akasema wapo wengi sana, Isco, Bale n.k watapiga mzigo. Leo kama umeangalia match vizuri, Madrid walikua nyanya mbele ya beki ya ATM, hakuna mtu aliyeweza kuuvunja ukuta mgumu wa ATM, Ronaldo masifa leo hata mbio kashindwa kukimbia, Benzema ushuzi mtupu, Bale ajiandae kuanza kuzomewa akiendelea namna hii, Isco ngoma nzito hii ilimshinda. Na wanabahati sana kumaliza wamefungwa kimoko
Nimemsoma Thibaut Courtois nae akisema hivyo hivyo.
Zidane anadai kuwa Mesut Ozil did not want to fight for Real Madrid place - Zinedine Zidane - Football - Sport - London Evening Standard
Watu wa kuwasaidia Madrid kwenye kiungo ni Alonso na Modric, Khedira simuoni akicheza kwa kujituma sana kama kipindi cha nyuma.
Ila kwa swala la playmaker, watakua na shida kidogo wakikutana na team zinazocheza kama ATM, Benzema kalimiss bench, the young Morata anahitaji kupewa muda zaidi.
Khedira alikuwa pale kwa sababu ya Mourinho.
He is a sort of players Mourinho like.
Otherwise, wala asingekuwa Madrid.