Ms Judith
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 2,563
- 918
This is now going worse! Inaonekana watu hawa walikuwa wengi, wa kuanza ndiye alikosekana. What is the source of these healing powers? Kumbuka Yesu alisema watatokea manabii wa uongo na kufanya ishara nyingi na kuwadanganya wengi. Now I get the picture! Akina Mariavictima wako wapi sasa? Kumbuka alivyomtukana miss Judith!
na bado mpendwa. nimeishatukanwa na wengi sana. Mungu tu ndiye anayenitia nguvu, vinginevyo ningeishakimbia JF. kadiri ukweli unavyozidi kudhihirika, tutegemee wengi tu kuingia mitini!
ee Bwana, neno lako taa yangu
limezifanya njia zangu kuwa angavu mbele yangu
daima nitalihimidi jina lako