Kuhusu Wastara, Hapana TUMSAIDIE!

Kama ccm yake imeshindwa kumsaidia apambane na hali yake.

Asinywe sumu wala asijinyonge ccm mbele kwa mbele ikinunua madiwani na wabunge kwa hela za walipakodi.
 
Acheni masihara wakati mwingine
Mtu maarufu seriously? Huyu kama ni maarufu basi Tz tuna safari ndefu
Wapo wenye shida yatima wengi tu vilema wengi tu
Nenda Muhimbili Ocean Road etc kule ndio kuna wagonjwa huyu wa kupaka wanja aje kwa tv ndio mgonjwa zaidi tuache utani jamani
Watu wanatafuta ada za shule ........
Matatizo mengine ya kujitakia
Aliolewa mara ngazi sijui akajisahau kuhudumia mguu akapenda kujirusha aache kulialia ajihudumie
 
Kaka kwani unakimbizwa wapi?
unapoandika/Toa taarifa toa taarifa kamili.
Huyo Dada kafanyaje,anaumwa nini,asaidiwe nini....sio wote wameangalia Tv au unachowaza wewe na wengine tunawaza sawa na wewe....
Tatizo ukurupukaji, anafikiri wote mda huwa tunashika remote, kama anaona hawezi kuandika apeleke Facebook.
Inaboa Sana
 
Lowassa angetaka arudi kwenye trend na aonekane "mwenye roho nyeupeeee" angempeleka kwny matibabu wastara.

Ungeona shughuli ambavyo ingekua kwa yule msemaji wao Polepole+Lumumba
 
Wasanii wetu kwa kulialia hawajambo,hivi wao kwa wao huwa hawasaidiani?
Mbona ni wengi sana hapa nchini
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom