Hute
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,537
- 6,479
mlioko mikoa ya kagera na kigoma na sumbawanga, tunaomba mtujuze hali ya hewa inaendeleaje jamani, kutokana na kauli ya jk kutaka wahamiaji haramu washughulikiwe, je wanashughulikiwaje?
- wanakamatwa na kupelekwa mahakamani kwa kuishi kiharamu?
- wanaporwa ardhi waliyokuwa wakimiliki wakati waoni foreigner
- wanapakizwa kwenye magari kupelekwa rusumo?
- ng'ombe wao hawaibiwi/hawaporwi na polisi au wananchi wa kibongo?
- usalama wa taifa,wanajeshi na polisi wanaenda nyumba hadi nyumba kukagua kama mtu ametii amri ya amiri jeshi mkuu au wamemdharau kama alivyofanya kagame?
- wale walioolewa au kuoa watz, wameshughulikiwaje, hasa wale ambao baba zao ni watz, watoto wao nao si watz? kwanini wafukuzwe?