Kuhusu wanaokuja kutibiwa India

Kuhusu wanaokuja kutibiwa India

BORN TO FIGHT

Member
Joined
Nov 14, 2014
Posts
22
Reaction score
8
Mm ni Member mwenzenu nimekuja India kwa matibabu ya Mama watoto ila kutokana na yaliyonikuta ningependa kuwapa taadhari kwa member wengine ili wasije kufanya makosa kama ilivyokuwa kwangu mm niliwahi kuja India mwaka 2011 kwa Health checkup lkn kwa kweli bado hospital niliyokwenda ilikuwa Mumbai ni kama sikuridhika kabisa nikasema anyway my nimechagua hospital wrong this time nimekuja nikaenda Apollo ipo MYSORE lkn still majibu yao ni ya juu juu sana nikasema no mgonjwa analalamika maumivu wao wanasema haumwi ikabidi nifanye Research nikagundua hospital moja ipo BANGALORE nitaweka picha ya Signbord yao kwa kweli jamaa wapo sawa atleast unaona seriousness ipo kwa hiyo napenda kuwapa taadhari kwa mnaowaza either kuja kwa kutibiwa au check up ya kawaida mfanye utafiti wa kutosha kabla hamjapanda ndege unless utapoteza fedha bure Nawasilisha
 

Attachments

  • 1416019875105.jpg
    1416019875105.jpg
    74.2 KB · Views: 1,074
Asante kwa taarifa na pole kwa kuumwa.
 
Asante niliona documentary ya hospital hii ya narayana Aljazeera kwa kweli wapi vizuri Sana.
 
Asante kwa taarifa na pole kwa kuuguliwa. Hata hivyo nasisitiza serikali iweze kutoa huduma hizo nchini Tanzania kwa sababu si kila mwananchi atakuwa na uwezo wa kwenda India kupata matibabu.
 
  • Thanks
Reactions: aye
Mm ni Member mwenzenu nimekuja India kwa matibabu ya Mama watoto ila kutokana na yaliyonikuta ningependa kuwapa taadhari kwa member wengine ili wasije kufanya makosa kama ilivyokuwa kwangu mm niliwahi kuja India mwaka 2011 kwa Health checkup lkn kwa kweli bado hospital niliyokwenda ilikuwa Mumbai ni kama sikuridhika kabisa nikasema anyway my nimechagua hospital wrong this time nimekuja nikaenda Apollo ipo MYSORE lkn still majibu yao ni ya juu juu sana nikasema no mgonjwa analalamika maumivu wao wanasema haumwi ikabidi nifanye Research nikagundua hospital moja ipo BANGALORE nitaweka picha ya Signbord yao kwa kweli jamaa wapo sawa atleast unaona seriousness ipo kwa hiyo napenda kuwapa taadhari kwa mnaowaza either kuja kwa kutibiwa au check up ya kawaida mfanye utafiti wa kutosha kabla hamjapanda ndege unless utapoteza fedha bure Nawasilisha

hapa nilipo nafikiria wale wanao jana nilifanikiwa kupeleka mihogo home ndo chai na chakula cha mchana jioni sijui wanakula nini sasa huko India mkuu duh!
 
Born to fight, tunashukuru kwa important info, vipi hao Narayana kwa cost ukicompare na kina APOLLO na wengine ? nimeona profile yao kwenye WIKIPEDIA sio mchezo...!
Pls keep us updated..!
 
daaa n kwel co sababu imekua india zpo hospital ambazo hazifany vizur
 
Asante kwa taarifa nakuja hapo kesho..hapa apolo ni bomu sana uko wodi gani???
 
Jamaa kwa kweli cost naweza kusema ni za kawaida sana maana kama check up ya kawaida ni kama usd 80 hapa kuna full blood picture Esg Eco Tmt na mambo kibao kwa hiyo
 
Na uzuri wa hawa jamaa hapa wana INTERNATIONAL DIVISION ambayo ni special kwa foreigner tu kwa kweli to be honest Nilienda Mumbai kuna hospital na MYSORE ila ni tofauti sana na hawa so ni muhimu kujipanga kabla ya safari
 
Hizi ni contact za mtu anaehusika na hao wagonjwa wa mataifa ya nje
 

Attachments

  • 1416059366045.jpg
    1416059366045.jpg
    33.9 KB · Views: 438
Wengi Wawatanzania hospital kubwa ni Mwananyamala Muhimbili ndo last bus stop na wengi hawawezi Ku afford hizo gharama serikali improve health services kusaidia wasioweza hizo gharama
 
Ni sawa lkn hata kwa wale wachache wenye matatizo kama ya moyo ni vema wakija wapata sehemu sahihi thats why kuweka hii topic just umekuja mbali kote huku halafu unaishia kupoteza muda ni hasara mara mbili
 
Mm ni Member mwenzenu nimekuja India kwa matibabu ya Mama watoto ila kutokana na yaliyonikuta ningependa kuwapa taadhari kwa member wengine ili wasije kufanya makosa kama ilivyokuwa kwangu mm niliwahi kuja India mwaka 2011 kwa Health checkup lkn kwa kweli bado hospital niliyokwenda ilikuwa Mumbai ni kama sikuridhika kabisa nikasema anyway my nimechagua hospital wrong this time nimekuja nikaenda Apollo ipo MYSORE lkn still majibu yao ni ya juu juu sana nikasema no mgonjwa analalamika maumivu wao wanasema haumwi ikabidi nifanye Research nikagundua hospital moja ipo BANGALORE nitaweka picha ya Signbord yao kwa kweli jamaa wapo sawa atleast unaona seriousness ipo kwa hiyo napenda kuwapa taadhari kwa mnaowaza either kuja kwa kutibiwa au check up ya kawaida mfanye utafiti wa kutosha kabla hamjapanda ndege unless utapoteza fedha bure Nawasilisha

Mkuu moja pole kwa kuuguza mama watoto na heka heka za huko. Pamoja na hayo sijakuelewa.
1. Ulienda India kutibiwa au "Health check up"?

2. Ulienda hospitali takribani mbili au zaidi(presuming ulishapitia nyingine 'Bongo') moja ya hospitali hizi ni zile ambazo tunazitegemea 'kibongo bongo'. Huoni kama ilikuwa ni doctor shopping hada kule kusema majibu hayaridhishi na hukutupa majibu ya hospital yeyote yanayorishisha?

3. Mkuu 80USD kwa hela ya kitanzania ni kubwa mno kufanya check up ya vipimo hivyo ulivyovitaja(gharama ya "faili"/ kuonwa/kuonana na daktari ikiwa haipo).


Kwa jinsi ninavyofahamu/utaratibu ndugu wa mgonjwa hupata mawasiliano na hospitali husika na kwasasa kuna utaratibu wa kuwasiliana na madaktari husika ili kutambua kama mgonjwa atafaidika iwapo atakwenda India au la, sasa shida inapotokea mtu asipofuata utaratibu huu ndipo vitu kama hivyo hutokea(No offence).
 
hao narayana wanatoa huduma ya cardiac peke yake au wanatoa na huduma zingine?
 
Mimi roho huniuma sana ninapoona wagonjwa wanavyozevezwa hasa wale wanaolipiwa gharama za matibabu na serekali India.

Kuna Wagonjwa wanaachwa tu bila sababu ya msingi, wanalala na kula tu ili mradi bili iongezeke. wengine hufanyiwa majaribio lakini bili iko palepale. Hivi kwanini tusiboreshe hospitali zetu na kuacha kuwanufaisha wahindi?

Wahindi wanatushangaa sana. Kwa pesa tunazolipa tungeweza kabisa kununua vifaa (sio second hand vilivyopakwa rangi) vya kisasa na kwa kutumia Majengo tuliyonayo, madaktari tunao na hata kama hawatoshi au kwa sababu nyingine zozote zile tungeweza kuwakodi hawa wahindi (kwa kuanzia) waje kwa gharama ndogo na wangetibu wagonjwa wengi ambao hawana uwezo wa kufika India.

Pia madaktari wa kihindi wasingefanya ubabaishaji wakiwa huko.

Naumia mimi uwiiiiiiiiiiiiii tunashindwa nini?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom