kadoda11
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 21,453
- 20,712
haya wadau nimevunja mwiko.
nasikia (tetesi) hawa jamaaa wana utajiri wa kufa mtu.
eti pia ktk viongozi wa dini (Waislam wakiwemo) wao ndio vinara wa biashara ya mihadarati.
siyo hivyo tuu pia wanadhaniwa kutumia nguvu za giza kutenda miujiza ktk nyumba zao za ibada.
eti pia wengine wanatembea na wake za watu.........na mengi zaidi.
sina ushahidi wa hayo yote.ila yanajadiliwa sana sikuhizi.
na sisi tunaweza kuyadili.labda niwatoe-hofu mimi ni mkristu-nakula nguruwe.lol
hoja ipo mezani.
nasikia (tetesi) hawa jamaaa wana utajiri wa kufa mtu.
eti pia ktk viongozi wa dini (Waislam wakiwemo) wao ndio vinara wa biashara ya mihadarati.
siyo hivyo tuu pia wanadhaniwa kutumia nguvu za giza kutenda miujiza ktk nyumba zao za ibada.
eti pia wengine wanatembea na wake za watu.........na mengi zaidi.
sina ushahidi wa hayo yote.ila yanajadiliwa sana sikuhizi.
na sisi tunaweza kuyadili.labda niwatoe-hofu mimi ni mkristu-nakula nguruwe.lol
hoja ipo mezani.