Kuhusu tendo la ndoa/ngono

Kuhusu tendo la ndoa/ngono

Kwa wenza wanaoridhiana na kuridhishana, hakuna anayetamani kumnyima mwenzake, bahati mbaya ni wanaume wachache waliofanikiwa kuzitambua hisia za wenza wao wa kike.
Kwa mwanaume lazima hisia za mke wako tu la sivyo unaondoka katika kundi la wanaume (Fucking VS Making love)
 
Kumnyima Mume wako Uchi kwa kuwa kakukera ni kujidhalilisha Mwanamke mwenyewe kwa kuwa amekiri rasmi kuwa Uchi wake ni kama Nyenzo ya kufurahisha au kuadhibu.
 
Back
Top Bottom