Kozo Okamoto
JF-Expert Member
- Oct 14, 2013
- 3,391
- 1,541
kiujmla hawezi
tukikupa wewe utaweza?
kiujmla hawezi
Kwani uyu mwiguru ndio nani haswaaa kawa bubuAondolewe Mwigulu kwanza. Wizara imemshinda kabisa siyo siri.
mkuu, IGP mpya ni kada wa chama chao.Ni kama ameingia kuchochea moto, ameingia na mauaji yameendele tena kwa kasi zaidi kuliko hata kipindi cha nyuma.
Mbaya zaidi kitu kingine kipya kimeingia siyo kuua tu, Bali utekaji pia umechukuwa nafasi.
Nilitegemea anaongia na mbinu mbadala badala yake ameingia tu hakuna jipya zaidi ya kusikia upinzani wakituhumiwa kufanya mauaji hayo
Wewe unahusika nini mbona inaonekana kama unafurahia mambo haya?Ni kama ameingia kuchochea moto, ameingia na mauaji yameendele tena kwa kasi zaidi kuliko hata kipindi cha nyuma.
Mbaya zaidi kitu kingine kipya kimeingia siyo kuua tu, Bali utekaji pia umechukuwa nafasi.
Nilitegemea anaongia na mbinu mbadala badala yake ameingia tu hakuna jipya zaidi ya kusikia upinzani wakituhumiwa kufanya mauaji hayo
Ni kama ameingia kuchochea moto, ameingia na mauaji yameendele tena kwa kasi zaidi kuliko hata kipindi cha nyuma.
Mbaya zaidi kitu kingine kipya kimeingia siyo kuua tu, Bali utekaji pia umechukuwa nafasi.
Nilitegemea anaongia na mbinu mbadala badala yake ameingia tu hakuna jipya zaidi ya kusikia upinzani wakituhumiwa kufanya mauaji hayo
Mzee unainformationunaambiwa hawa magaidi wana kambi nyamisati,kibiti,ikwiriri na kilwa tena wana silaha nyingi ambazo husafirishwa kwa njia ya bahari kupitia bandari ya nyamisati.
tukiwa tunasubiri kundi hili litokomezwe kumbe walishajiandaa zaidi ya miaka 4 iliyopita ikiwa ni pamoja na kuwa na mahandaki ya kutosha
unataka aanze mara ngapimkuu,hii kali,unaweza kufeli bila hata kuanza?
sawa tu..moto kwa moto. wanakuja ki al shabaab lazima kuwafyeka. wanaua watendaji polisi na wanaccm tu huko rufiji kama hao sio cuf ni nani.Ni kama ameingia kuchochea moto, ameingia na mauaji yameendele tena kwa kasi zaidi kuliko hata kipindi cha nyuma.
Mbaya zaidi kitu kingine kipya kimeingia siyo kuua tu, Bali utekaji pia umechukuwa nafasi.
Nilitegemea anaongia na mbinu mbadala badala yake ameingia tu hakuna jipya zaidi ya kusikia upinzani wakituhumiwa kufanya mauaji hayo
Mkuu suala la kibiti ni kubwa kuliko alivyotegemea. Hili linahitaji inteligensia ya hali ya juu. IGP kaenda kuonge na wazee, anaondoka tu huku nyuma hiyo miharamia inaanza kuua wananchi utafikiri kuku!!! Mi inaniuma sana. Yaani ndugu zetu wanaishi kwa hofu sana tanzania hii hiii. Tena wako hapo tu karibu. Hao watu tusipoangalia watafika hadi hapa dar. Watanzia otskirts za mji ambako hakuna maendeleo. Yaani Mungu atusaidi hili jipu litumbuliwe haraka. Ila wanaomjua IGP wanasema yuko vizuri. Tusubiri atengue hiki kitendawili.Ni kama ameingia kuchochea moto, ameingia na mauaji yameendele tena kwa kasi zaidi kuliko hata kipindi cha nyuma.
Mbaya zaidi kitu kingine kipya kimeingia siyo kuua tu, Bali utekaji pia umechukuwa nafasi.
Nilitegemea anaongia na mbinu mbadala badala yake ameingia tu hakuna jipya zaidi ya kusikia upinzani wakituhumiwa kufanya mauaji hayo
Sidhani kama ni CUF maana hata CUF wanauwawa. Mwenyekiti wa kijiji aliyetekwa au kuuliwa ni wa CUF!!!!sawa tu..moto kwa moto. wanakuja ki al shabaab lazima kuwafyeka. wanaua watendaji polisi na wanaccm tu huko rufiji kama hao sio cuf ni nani.
nimegonga likeAondolewe Mwigulu kwanza. Wizara imemshinda kabisa siyo siri.
Mkuu Mtarban kinachoendelea Kibiti ni zaidi ya kinavyoonekana kwa nje. Upo uwezekano wa haya yanayofanyika kuwa ni matokeo ya mkakati wa muda mrefu wa hawa jamaa.Ni kama ameingia kuchochea moto, ameingia na mauaji yameendele tena kwa kasi zaidi kuliko hata kipindi cha nyuma.
Mbaya zaidi kitu kingine kipya kimeingia siyo kuua tu, Bali utekaji pia umechukuwa nafasi.
Nilitegemea anaongia na mbinu mbadala badala yake ameingia tu hakuna jipya zaidi ya kusikia upinzani wakituhumiwa kufanya mauaji hayo