abagabo
Senior Member
- Jun 4, 2014
- 155
- 168
Utasikia, Mhe tutakuwa na mashahidi kumi, na pp anawataja kwa majina na hakimu anawaorodhesha.
Je, hao mashahidi wote ni lazima waje kutoa ushahidi au wanaweza kuletwa hata watatu? lakini pia je, hakimu anaposema mashahidi watumiwe samamsi maana yake mahakama ndo inawaita? , je wasipokuja wote maana yake ni nini?, wamekaidi? Nani anawajibika kuhakikisha mashahidi wanakuja mahakamani wote?
asante
Je, hao mashahidi wote ni lazima waje kutoa ushahidi au wanaweza kuletwa hata watatu? lakini pia je, hakimu anaposema mashahidi watumiwe samamsi maana yake mahakama ndo inawaita? , je wasipokuja wote maana yake ni nini?, wamekaidi? Nani anawajibika kuhakikisha mashahidi wanakuja mahakamani wote?
asante