Kuhusu NHIF (Bima Ya Afya Ya Taifa), Nionavyo mimi Wananchi Tumepigwa Chenga ya Mwili

Kuhusu NHIF (Bima Ya Afya Ya Taifa), Nionavyo mimi Wananchi Tumepigwa Chenga ya Mwili

kinje ketile

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2015
Posts
5,363
Reaction score
10,101
Usiombe ndugu yangu uwe na bima Ya Afya, ile Ya NHIF inayoitwa Ya Vifurushi. Itokee ndo Unaumwa halafu unapata huduma hospitali za Serikali mfano Muhimbili.

Kitakachokukuta Kuhusu gharama za Vipimo na dawa ni heri yule ambaye hana bima.

Bima hii, bima hii, bima hii Ya Afya TAIFA ni zaidi ya Chenga Ya Mwili..! Utayajua haya siku yakikukuta..usiombe.!
Najua mashuhuda watajitokeza kwenye hili..Usiombe kabisa.
 
Back
Top Bottom