Kuhusu "mwanga" na "giza" sayansi inasemaje?

  1. Kwani DVD player za PAL system husoma DVD za namna gani?
  2. Hivi katika kutengeneza DVD kuna habari ya kuseti iwe PAL ama hakuna?
1. Mkuu nadhani kwenye format ya DVD hakuna frmat ya DVD ya PAL au format ya DVD ya NTSC. hizo ni format za Movie zinazochezwa na kutambuliwa na kudekoiwa na DVD player

2. Kuset PAL au NTCS kwende DVD inategema content.Sasa kama kwenye DVD umeweka AUDIO tu au file za kaawaida PAL zina kazi gani? Kwa uelewa wangu mechanics ya hizo PAL na NTC ipo kwenye player na sio media . But unaweza kunielemisha
 
  • Thanks
Reactions: 3D.
Hivyo si ajabu wanyama fulani wakawa hawapumbaziki kwa vi-framerate vyetu!! Ukiachana na suala la akili ya kupambanua mambo binadamu anazidiwa na wanyama wengine kama vitu vingi kuanzia uwezo wa kuona mbali, kuvuta harufu, kufeel touch, nguvu ya mwili na mwendo kasi.

Hapo kwenye harufu nimeona documenatry kuna wanyama wa porini (eg tembo) wanatumia uwezo wa kunusa kujua Jike gani liko kwenye heat period na linahitaji kupandwa. Hata ng'ombe na mbuzi huwa wanatumia hii ila uwezo wao sio mkubw sana mpaka wanuse "mashine" za wenza wao kwa karibu lol
 
  • Thanks
Reactions: 3D.
1. Mkuu nadhani kwenye format ya DVD hauna frmat ya DVD ya PAL au format ya DVD ya NTSC. hizo ni format za Movie zinazochezwa na kutambuliwa na kudecoiwa na DVD player

2. Kuset habari ya PAL au NTCS kwende DVD inategema content.Sasa kama kwenye DVD umeweka AUDIO tu au file za kwaida PAL zina kazi gani? Kwa uelewa wangu mechanics ya hizo PAL na NTC ipo kwenye player na sio media . But unaweza kunielemisha

  1. DVD kama storage media haijali mambo ya PAL au NTSC ikiwa na maana kuwa unaweza kuweka chochote kile iwe picha, muziki, ms word, virus etc. Ni kama ulivyosema.
  2. DVD kama movie format ina mambo ya PAL na NTSC. Format ya DVD video ni mpg2 (mpeg 2) na huwa aidha PAL au NTSC. Kama DVD ni PAL basi framerate yake ni 25 na frame size ni 720 x 576 pixels na NTSC framerate yake ni 29.97 (30) na frame size ni 720 x 480 pixels. Hivyo DVD movie hutengenezwa kwa special format ambayo huruhusu advanced features kama Menus, Chapters etc.
  3. Suala la deki (Players) linaweza pia kuwa kweli kama ulivyosema. Ntafuatilia. Ila kuhusu DVD video kuna PAL na NTSC. Mambo ya PAL na NTSC kimsingi yanahusiana na colours/colour codes.
 
Hapo kwenye harufu nimeona documenatry kuna wanyama wa porini (eg tembo) wanatumia uwezo wa kunusa kujua Jike gani liko kwenye heat period na linahitaji kupandwa. Hata ng'ombe na mbuzi huwa wanatumia hii ila uwezo wao sio mkubw sana mpaka wanuse "mashine" za wenza wao kwa karibu lol

Ni kweli usemavyo. Wanyama wametupiga gepu katika mambo kadhaa. Wao huweza kuwagundua wenzi wao wakiwa katika heat period kwa harufu na hata kujamiiana kwao huwa ni kwa mpangilio... sisi wababe ukishategwa tu baaasi, unakwenda nje ya ndoa...lol!!
 
"Mwanga na giza ni interpratations of diferent forms of energy done by living brain":shock:
this philosophy is copyrighted
 
"Mwanga na giza ni interpratations of diferent forms of energy done by living brain":shock:
this philosophy is copyrighted

Exactly! We interprete the signals with frequency on a visible range of the spectrum as light!
 
Back
Top Bottom