DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 18,113
- 45,844
Kosa kubwa ni kumwamini Mtu anapokwambia atakupa majimbo 15, wakati na yeye ni mgombea, na chama chake kina wagombea kwenye hayo majimbo na wanamnadi yeye na kusaidia chama chake.
Lakini kosa kubwa zaidi ni kuhujumu wapinzani wenzako ambao mwanzo walikuamini na mkashirikiana. Sasa utajiuliza kwanini CCM wameweka wagombea kwenye majimbo yote, unadhani watawatosa?
Mbaya zaidi kwenye Jimbo lako mgombea wa CCM atakayepitishwa ni Charles Stephen Kimei, huyu ndiye aliyekuwa Mkurugenzi wa Benki ya CRDB wakati ikifungua tawi lake Chato. Na jengo ambalo CRDB wanalitumia kule Chato ni jengo la Bosi kubwa.
Bado kuna mgombea wa CHADEMA ambaye anakubalika kuliko Chama chochote huko Vunjo.
Haya pambana sasa
Lakini kosa kubwa zaidi ni kuhujumu wapinzani wenzako ambao mwanzo walikuamini na mkashirikiana. Sasa utajiuliza kwanini CCM wameweka wagombea kwenye majimbo yote, unadhani watawatosa?
Mbaya zaidi kwenye Jimbo lako mgombea wa CCM atakayepitishwa ni Charles Stephen Kimei, huyu ndiye aliyekuwa Mkurugenzi wa Benki ya CRDB wakati ikifungua tawi lake Chato. Na jengo ambalo CRDB wanalitumia kule Chato ni jengo la Bosi kubwa.
Bado kuna mgombea wa CHADEMA ambaye anakubalika kuliko Chama chochote huko Vunjo.
Haya pambana sasa