Angalia scenario hiyo utaelewa kwa nini imembidi aanze kuongea mbele ya wageni, wanaishi wawili wenda ni tabia ya wageni wa mwenzake na usikute wamewekeana code of conduct tangu waanze kuishi.Keeping it real wapi, uchoyo tu,tena kabisa anawaambia oh bajet sijui nini,..wapi mtaishi msipate wageni wa ghafla??? Ndo afrika hii hamjazoea tu?
Kila binaadamu na uono wake. Hebu jaribu kwenda kwa rafiki wa kizungu halafu ukute anakula kama atakukaribisha.Angenunua japo soda wakanywa wote na hiko chakula pia,usiseme mtu kisa chakula
Ni kweli mkuu...siku moja hubby alikaribisha mates wake akiwemo mzungu m1. Mzungu alishangaa kwann sipakui msosi nkamwambia nahakikisha kwamba wagen wote wamepata. Akanambia kwetu (Norway) mwenyeji ndo anakuwa wa kwanza kula. Huyu mleta uzi ajirekebishe. Na achukulie kwa kuleta kwake hoja yake hii hapa jukwaan Mungu anataka kumbadilisha. Maana wachangiaji wengi wamemtupia lawama. Acha uchoyo okoyokoKwa sisi waafrika ni bora mwenyeji usile wageni wale hata kama hawajatoa taarifa.
Tulishawahi kuharibikiwa na gari njiani wenyeji wetu walitupa chakula na malazi bure huo ndio uafrika.
Wewe ni mchoyo.
Mimi nisingefanya kama ulivyofanya wewe, lakini ulichofanya ni sawa tu hawakuwa kwenye ratiba wacha waisome namba!!Hellow,
Mimi nakaa nyumba moja na rafiki yangu ambae ni teacher wa sekondari, na kwenye bajeti yetu ya mwezi kila cku tumeweka portion ya watu 2, kwenye swala la msosi.
Juzi Juzi ticha alitembelewa na rafiki zake wawili wa kiume muda wa mchana, walimkuta teacher akiwa anapika, chakula kilipoiva, teacher alipomaliza kukaribisha rafiki zake msosi nilimuuliza kama wageni waliokuja walitoa taarifa kabla ya kuja, teacher akasema hamna c wamekuja kunsalimia tu, na blah blah nyingine, mm nikawauliza wageni wale kama walitoa taarifa kabla ya kuja nao walisema oh unajua, oh.., mm nkamwambia teacher live mbele ya wageni kuwa share ya msosi iliyopo ni ya watu 2, na nliwaambia wageni kuwa kwa vile mmekuja bila taarifa cha kuwasaidia ni kuwapa maji, msosi uliopo hapa ni wa watu 2, so sitakubali tu-share na nyie huu msosi, bac wale wageni walikaa pale mwishowe wakaondoka, hlf baadae teacher alintupia lawama kuwa I was rude, hiv jamani kuna kosa lolote nlilolifanya?
Naombeni mawazo yenu
Hellow,
Mimi nakaa nyumba moja na rafiki yangu ambae ni teacher wa sekondari, na kwenye bajeti yetu ya mwezi kila cku tumeweka portion ya watu 2, kwenye swala la msosi.
Juzi Juzi ticha alitembelewa na rafiki zake wawili wa kiume muda wa mchana, walimkuta teacher akiwa anapika, chakula kilipoiva, teacher alipomaliza kukaribisha rafiki zake msosi nilimuuliza kama wageni waliokuja walitoa taarifa kabla ya kuja, teacher akasema hamna c wamekuja kunsalimia tu, na blah blah nyingine, mm nikawauliza wageni wale kama walitoa taarifa kabla ya kuja nao walisema oh unajua, oh.., mm nkamwambia teacher live mbele ya wageni kuwa share ya msosi iliyopo ni ya watu 2, na nliwaambia wageni kuwa kwa vile mmekuja bila taarifa cha kuwasaidia ni kuwapa maji, msosi uliopo hapa ni wa watu 2, so sitakubali tu-share na nyie huu msosi, bac wale wageni walikaa pale mwishowe wakaondoka, hlf baadae teacher alintupia lawama kuwa I was rude, hiv jamani kuna kosa lolote nlilolifanya?
Naombeni mawazo yenu
Kuhusu mzee wangu namtunza kama mboni ya macho nime mjengea nyumba na kila mwenzi nampa hela ya matumizi 500k.
Narejea tena bila ya taarifa sikukaribishi kula sio kama mchoyo bali mawasiliano yapo kwanini ujilete kama jini au malaika mtoa roho bila ya taarifa.