AKILI TATU
JF-Expert Member
- Feb 10, 2016
- 2,658
- 2,804
Hivi ili suala la baadhi ya vyuo kutosajiliwa na bado vinadahili wanafunzi limekaaje?
Na je wanafunzi au mwanafunzi aliyesoma chuo kama hiki anasaidiwaje na serikali hali wakati anajiinga hakuna anajua taarifa za chuo husika kama kimesajiliwa au lah?
Na kuna hivi vyuo ambavyo vilikuwa vimesajiliwa kwa muda au vilipata usajili wa kudumu lakini wakafutiwa usajili ,je wanafunzi waliohitimu katika vyuo hivi vya kati wanajiendeleza vipi ili hali vyuo hivyo vimefutwa kwenye mfumo wa nacte na matokeo yao hayapo kwenye tovuti hiyo?
Naomba Mwenye kujua anijibu kiufasaha.
Na je wanafunzi au mwanafunzi aliyesoma chuo kama hiki anasaidiwaje na serikali hali wakati anajiinga hakuna anajua taarifa za chuo husika kama kimesajiliwa au lah?
Na kuna hivi vyuo ambavyo vilikuwa vimesajiliwa kwa muda au vilipata usajili wa kudumu lakini wakafutiwa usajili ,je wanafunzi waliohitimu katika vyuo hivi vya kati wanajiendeleza vipi ili hali vyuo hivyo vimefutwa kwenye mfumo wa nacte na matokeo yao hayapo kwenye tovuti hiyo?
Naomba Mwenye kujua anijibu kiufasaha.