ng'wana mlingwa
Member
- Oct 11, 2007
- 5
- 0
Niliomba kazi NHC ambayo ilitangazwa mwezi wa sita na deadline ya kuapply ilikuwa tarehe 27/06/2011. Title ya kazi ni SENIOR FRAUD INVESTIGATION OFFICER (Ref.No.SFI/nhc/2), je kuna mtu mwenye taarifa kama watu wameshaitwa kwenye interview maana sijasikia lolote.