Barubaru
JF-Expert Member
- Apr 6, 2009
- 7,161
- 2,323
Wanajamii forum.
Napenda kuwafahamisha kuwa jana nimepokea simu nyingi sana kwani kwa kula hali inaonekana mtpoa hoja/thread ameandika kwa nia ya kutaka kunivunjia mahusiano yangu na jamaa zangu huko Tanzania.
Hakika mimi niliweka hii CV kwa nia njema kabisa kama ambavyo ningeweka ya JK au hata Prof Lipumba au hata yangu mwenyewe kwa nia ya kuijadili na kutathimi mambo mbalimbali kama kiongozi wenu.
Kwa kukataa kuvunja mahusiano yangu na watu huko Tanzania na kuona thread hii haina tija kwangu wala kwa maslahi yoyote kwa jamii yoyote zaidi ya kujikita katika umbeye na uzandiki.
Naomba kusita hapa.
Adios
Napenda kuwafahamisha kuwa jana nimepokea simu nyingi sana kwani kwa kula hali inaonekana mtpoa hoja/thread ameandika kwa nia ya kutaka kunivunjia mahusiano yangu na jamaa zangu huko Tanzania.
Hakika mimi niliweka hii CV kwa nia njema kabisa kama ambavyo ningeweka ya JK au hata Prof Lipumba au hata yangu mwenyewe kwa nia ya kuijadili na kutathimi mambo mbalimbali kama kiongozi wenu.
Kwa kukataa kuvunja mahusiano yangu na watu huko Tanzania na kuona thread hii haina tija kwangu wala kwa maslahi yoyote kwa jamii yoyote zaidi ya kujikita katika umbeye na uzandiki.
Naomba kusita hapa.
Adios