Kila Kitu Tanzania 2konyuma,,, Hao TCU Ukiwapigia Hawapokei Simu Na Kwenye Social Pages Zao Wala Hawajib Nadhani Wanatakiwa Wajitahmini Kwann Waweke Namba Za Cm Kama Hawapokei
Kila Kitu Tanzania 2konyuma,,, Hao TCU Ukiwapigia Hawapokei Simu Na Kwenye Social Pages Zao Wala Hawajib Nadhani Wanatakiwa Wajitahmini Kwann Waweke Namba Za Cm Kama Hawapokei
Hatarii sanaa me mwenyewe ht kwa list ya tcu sikuepo ila nipo multtple akat nimeona nimechaguliwa chuo kimoja tu code yenyyew haikonect afu mwisho wa kuthibitisha wanasema trh 5
Mwenyewe Kwenye List Ya Multiple Kutoka TCU Jina Langu Halipo Lakin Nimechaguliwa UDOM na STEMMUCO na UDOM wanataka ni confirm lakin STEMMUCO Hawajeweka Sehem Ya Kuconfirm,, Ngoja Nisubirie Code Ni Thibitishe UDOM