habari wana jamvi. . ,jamani naomba kujua kuhusu hili,mwaka jana udom kulitokea mambo ya mgomo ambyo yaliyotufanya tukae nyumbani kwa muda mrefu sana,baadae tuliitwa kuendelea na masomo lakn mambo hayakwenda poa,nikaamua kutulia kuomba chuo tena mwaka ulifuata,nimeomba tena mwaka huu,nimechaguliwa tena udom koz tofauti,sasa naomba kujua kama kuna uwezekano wa kupata mkopo tena,tafadhali wanajamvi naomba mawazo yenu. . . . . . .karibuni