Kuhusu barua za kazi

kidadari

JF-Expert Member
Jul 26, 2012
8,647
9,574
Imekuwa ni kawaida kwa jamii siku hizi hasa vijana walio wengi ambao hawana ajira kuomba kazi hata kama hazijatangazwa. mimi ni mhitimu wa chuo kikuu nikiwa kama husika wa hili (mimi) na rafiki zangu tumekuwa tunazunguka ofisi zaidi ya 50 ndani ya miezi miwili hapa mjini kupeleka barua za maombi pasi kazi kutangazwa.....swali je? hizo barua huwa wanazifanyia kazi ua wanaturidhisha tu na kutupa matumaini tusikate tamaa kakutafuta kazi? kwa sababu sehemu zote tulizopeleka hazijakataliwa, zilipokelewa kwa ukarimu sana, na hakuna kati yetu aliyeitwa kwenye enterview hata mara moja.
 
Pole sna.
Najaribu kujiweka kwenye situation yko na kujikuta naumia sna.
Mungu atakusaidia.
 
pole usikate tamaa
huwa wanasema atafutae hachoki na akichoka keshapata
wasipopokea utalalama na wamepokea unalalama ile ni icase ikitokea
kazi nyie ndo mtakaopewa kipaumbele
na wale hawatakiwai kuwakatisha ari yenu ya kutafuta kazi
 
pia, jaribu kupitia tena hzo ofic kuwakumbushia kwamba ulishaleta maombi .ofic nying wanatunza ila mlundikano unawafanya wawe wavivu kuzpitia..
 
Imekuwa ni kawaida kwa jamii siku hizi hasa vijana walio wengi ambao hawana ajira kuomba kazi hata kama hazijatangazwa. mimi ni mhitimu wa chuo kikuu nikiwa kama husika wa hili (mimi) na rafiki zangu tumekuwa tunazunguka ofisi zaidi ya 50 ndani ya miezi miwili hapa mjini kupeleka barua za maombi pasi kazi kutangazwa.....swali je? hizo barua huwa wanazifanyia kazi ua wanaturidhisha tu na kutupa matumaini tusikate tamaa kakutafuta kazi? kwa sababu sehemu zote tulizopeleka hazijakataliwa, zilipokelewa kwa ukarimu sana, na hakuna kati yetu aliyeitwa kwenye enterview hata mara moja.

nisawa unavyofikiri lakini ukweli ni huu, hizo barua huwa wanakaa nazo panapotokea nafasi wanazipitia wanaangalia zile sifa wanazotaka basi wanakuita mimi nilikaa miezi 7 siku ni mekata tamaa nikaitwa, nimeanza kazi nikaitwa pengine kwa sababu nilituma sehemu nyingi
 
nisawa unavyofikiri lakini ukweli ni huu, hizo barua huwa wanakaa nazo panapotokea nafasi wanazipitia wanaangalia zile sifa wanazotaka basi wanakuita mimi nilikaa miezi 7 siku ni mekata tamaa nikaitwa, nimeanza kazi nikaitwa pengine kwa sababu nilituma sehemu nyingi
shukran sana mkuu nimefarijika sana ,naamini nitafanikiwa kitika safari yangu.
 
shukran wakuu nimefarijika na michango yenu..naamini nitafanikiwa katika sfari yangu
 
Imekuwa ni kawaida kwa jamii siku hizi hasa vijana walio wengi ambao hawana ajira kuomba kazi hata kama hazijatangazwa. mimi ni mhitimu wa chuo kikuu nikiwa kama husika wa hili (mimi) na rafiki zangu tumekuwa tunazunguka ofisi zaidi ya 50 ndani ya miezi miwili hapa mjini kupeleka barua za maombi pasi kazi kutangazwa.....swali je? hizo barua huwa wanazifanyia kazi ua wanaturidhisha tu na kutupa matumaini tusikate tamaa kakutafuta kazi? kwa sababu sehemu zote tulizopeleka hazijakataliwa, zilipokelewa kwa ukarimu sana, na hakuna kati yetu aliyeitwa kwenye enterview hata mara moja.
usihofu ndugu ipo siku utaitwa!
nakumbuka wakati nipo mwisho wa mwaka wa tatu wa masomo nilomba kazi kwenye public institution
then nilipomaliza masomo ,nilikaa kitaa nakufanya application kama 100 bila kuitwa ata kwenye interview
siku moja nipo zangu town! jamaa wananiita kwenye interview! nilikuwa nimesha sahau kama nilipeleka appliication ata post nilikuwa sijui niliomba kitu gani
siku ya interview wananitajia post nikawaambia mbona sikumbuki kama niliwai kuomba 19 months back ,mpaka wakanipa nakala ya barua
nilikuwa shocked mpaka naenda usahili natetemeka! ilikuwa my first interview ,mpaka waliponiita kazini niliona kama ndoto vile
kwa hiyo ndugu yangu usijali umefanya application ngapi ipo siku utafanikiwa ,uwe nasubira ni mapito tu ,utasahau machungu yote ya kuzunguka kutafuta kazi!
 
Pitieni magazeti ya Kiingereza na mjenge pia mazoea ya kutembelea website zenye matangazo ya ajira Hasa recruiting firm.
Kama ni fresh from school, msiwe na tabia za kuanza na ndoto ya Post kubwa au kampuni kubwa, popote pale ingia uijenge CV kwanza hasa upande wa experiences ..!
 
usiogope umefanya vizuri, ila ni vizuri ukijitahidi kufahamiana na baadhi ya wafanyakazi hata masekretari kwa ajili ya updates na system ya kuajiri
 
yap kutafuta kazi ni kazi hap ndipo uthamani wa ajira(kazi) unapopatikana ila mtafutaji hachoki kutafuta hata siku moja labda apate ndipo atachoka. chamsing usife moyo endelea hata kutembelea siku moja moja www.ajira.go.tz, www.zoomtanzania.com, na mitandao mingine mingi km hiyo ila kuchoka kusoma gazet km vile th guardian, daily news na mengin mengine .
MUNGU AWE NANYI KATKA HARAKATI HIZI NA AWALINDE NA CHANGAMOTO ZA KUTAFUTA KAZI
 
yap kutafuta kazi ni kazi hap ndipo uthamani wa ajira(kazi) unapopatikana ila mtafutaji hachoki kutafuta hata siku moja labda apate ndipo atachoka. chamsing usife moyo endelea hata kutembelea siku moja moja www.ajira.go.tz, www.zoomtanzania.com, na mitandao mingine mingi km hiyo ila kuchoka kusoma gazet km vile th guardian, daily news na mengin mengine .
MUNGU AWE NANYI KATKA HARAKATI HIZI NA AWALINDE NA CHANGAMOTO ZA KUTAFUTA KAZI

Pia naombeni msaada wanjf, hata mimi ninamkakati wa kuanza kama mdau mwenzangu ila nashindwa hapa-heading niandike vipi, na anuani za haya makampuni na mashirika nitazipataje? nisaidieni wadau nateseka sana hali ni tete.
 
USIPATE SHIDA JARIBU HII
fungua forum inayo fanana na post yako kisha fungua subforum pia then kuna button imeandikwa submitt new topic unaiclick hiyo then itfunguka weka title na ucompose maneno yako lastly unaclick submitt na hizo anuani za hayo mashirika fungua wesite husika utapata anuani zao
ALL THE BEST





Pia naombeni msaada wanjf, hata mimi ninamkakati wa kuanza kama mdau mwenzangu ila nashindwa hapa-heading niandike vipi, na anuani za haya makampuni na mashirika nitazipataje? nisaidieni wadau nateseka sana hali ni tete.
 
fungua goolge au browser yoyote, then type hiyo website hapo uifungue uangalie nafasi za ajira kila siu wanatangaza
 
mungu ni mwema ipo siku xote 2tapata mana kesi hii wanaijua vzr walioko makazni . . . . shika neno. . . tenda neno.
 
Back
Top Bottom