Kuhujumu mwili Wako

Pdidy

JF-Expert Member
Nov 22, 2007
50,956
22,148
Kuhujumu mwili Wako



Si kweli kwamba kuguswa na sex ni vitu hatari sana, vibaya na uchafu.
Ukweli ni kwamba
Katika ndoa kupeana raha kwa kugusana (touching) na sex ni mlo kamili wa moyo, mwili, nafsi na roho.

Si kweli kwamba mume wako au mke wako ndiye anayehusika na raha yako kimapenzi.
Ukweli ni kwamba wewe mwenyewe unahusika na raha ya mwili wako hata kama umesoma kiasi gani, au una akili kiasi gani au hata kama partner wako yupo makini kiasi gani kama hujui kwamba mwenye unahusika na raha yako huwezi pata raha na kufurahia mapenzi.

Si kweli kwamba mke wako au mume wako anafahamu namna gani, lini na wapi unapenda kushikwa kimapenzi.
Ukweli ni kwamba ni jukumu lako kumfahamisha mume wako au mke wako ajue kile unapenda na unahitaji kimapenzi.
Kwani ni partners wachache sana wanaweza kusoma minds au kile unataka linapokuja suala la kufanya mapenzi.
Na kufanya mapenzi ni moja ya maeneo ambayo huwezi kufuata Golden rule kwamba “Fanya kile na wewe unapenda ufanyiwe” kwani kwenye mapenzi kila mtu anapenda kitu tofauti ili apate raha.
Kile mke au mume wako anapenda kufanyiwa katika mapenzi ni tofauti sana na wewe.

Si kweli kwamba ukiwa na mwili unaoonekana young ndipo uta-enjoy sex.
Ukweli ni kwamba jinsi mwili unavyoongeza umri ndipo huwa bora kwa sex.
Kwani Kuwa mzuri kimapenzi ni uzoefu unao patikana kwa kujifunza miaka na miaka kwa sababu sex huhitaji ufahamu na mazoezi (knowledge and practice).
Utamaduni wetu unatuambia kwamba unapoonekana young unakuwa sexy zaidi ukweli ni kwamba kuvutia kwa mwili hakuwezi kuleta kukomaa wa emotions na self-confidence katika kufanya sex kitu ambacho ni muhimu sana kuwa sexy na sex inayo inayoridhisha.

 
I hate this behavior of somebody just pasting something inhere, then anakimbia bila kufanya uchambuzi wa kutosha wa hoja!
Ni kubandika tu...hata kama watachangia watu 2!
Shame on us!
 
Aisee pdidy, mashairi yako bomba kwelikweli. kila kitu kizuri kinaanza na wewe mwenyewe.
 
Back
Top Bottom