johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,965
- 141,968
Ulinzi wa ubunge wa akina Halima James Mdee na wenzake ulisimama katika mafiga matatu ya "kimkakati" yaani Spika, AG na DPP tena kikujuana zaidi.
Figa moja binafsi limetenguliwa lakini litaletwa figa lingine kiofisi zaidi.
Siku zote utatu mtakavitu ukitibuliwa kinachofuatia ni majanga.
Bawacha walioko bungeni wajiandae kwa lolote, Nusrat Henje "alikuwa" kete muhimu ya wao kubaki bungeni.
Kazi Iendelee!
Figa moja binafsi limetenguliwa lakini litaletwa figa lingine kiofisi zaidi.
Siku zote utatu mtakavitu ukitibuliwa kinachofuatia ni majanga.
Bawacha walioko bungeni wajiandae kwa lolote, Nusrat Henje "alikuwa" kete muhimu ya wao kubaki bungeni.
Kazi Iendelee!