Nikiwa nasoma chuo bila kujua sababu nilipata barua kuamishwa kikazi kutoka Dar kwenda Mpanda na nililazimishwa niende bila kulipwa. Kweli nilienda kuripoti kwa gharama zangu nikaomba ruhusa siku 7 kurudi Dar kufuatilia malipo.
Nikakubaliwa nikarudi kulalamika kuhamishwa wakati nasoma. Wakati nasubiri majibu nikalipwa pesa za uhamisho na kisha barua ya kufuta uhamisho lakini baadaye nikaanza kukatwa zile pesa.
Je sheria inasemaje juu ya makato hayo wakati nilishakwenda kuripoti?
Nikakubaliwa nikarudi kulalamika kuhamishwa wakati nasoma. Wakati nasubiri majibu nikalipwa pesa za uhamisho na kisha barua ya kufuta uhamisho lakini baadaye nikaanza kukatwa zile pesa.
Je sheria inasemaje juu ya makato hayo wakati nilishakwenda kuripoti?